MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Tuwaombee;
1. Watu wote wanaopambana na magonjwa mbalimbali au majeraha ya ajali. Mungu awape nafuu na warudi kwenye hali zao kawaida.
2. Watu wote wanaohudumia wagonjwa. Wasikate tamaa na waweze kumudu gharama za matibabu ya wapendwa wao.
3. Watu wote wanaopambana na madeni. Mungu awatie moyo na kuweza kulipa madeni yao. Pia waweze kueleweka na wadaiwa wao.
4. Wote wenye matatizo kwenye ndoa zao. Waweze kufikia maelewano na wenza wao na kurudi kwenye furaha na amani.
5. Wenye vipato duni visivyotosheleza mahitaji yao ya lazima kama binadamu yaani chakula, malazi na mavazi. Mungu awainue hawa.
6. Vijana wadogo waliohitimu vyuo ila wanasota mtaani bila ajira hata ya kujitolea. Hawa wanahitaji kushikwa mkono.
AMEN
1. Watu wote wanaopambana na magonjwa mbalimbali au majeraha ya ajali. Mungu awape nafuu na warudi kwenye hali zao kawaida.
2. Watu wote wanaohudumia wagonjwa. Wasikate tamaa na waweze kumudu gharama za matibabu ya wapendwa wao.
3. Watu wote wanaopambana na madeni. Mungu awatie moyo na kuweza kulipa madeni yao. Pia waweze kueleweka na wadaiwa wao.
4. Wote wenye matatizo kwenye ndoa zao. Waweze kufikia maelewano na wenza wao na kurudi kwenye furaha na amani.
5. Wenye vipato duni visivyotosheleza mahitaji yao ya lazima kama binadamu yaani chakula, malazi na mavazi. Mungu awainue hawa.
6. Vijana wadogo waliohitimu vyuo ila wanasota mtaani bila ajira hata ya kujitolea. Hawa wanahitaji kushikwa mkono.
AMEN