Kwa Diaspora CHADEMA damu

Msengemanyoya dadadadeki [emoji83][emoji83][emoji83][emoji83]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"kuiombea Chadema fedha za send off"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

P umeuwa
 
Diaspora akionekana anachangia tu basi passport atanyanganywa na visa hataruhusiwa kuina ndugu zake Tz. Tumefikia siasa za kikoloni chini ya utawala wa Magufuli.
 

Hizi takataka ambazo ukiwashauri tu matusi?
 
How do win elections
KIM KARDASH,
Tutalijadili kwenye kikao tutakachokaa Jijini Texas mwezi ujao mwanzoni
Mjue kabisa intelejensia inafanyakazi vizuri kwenye mikutano ya wapinzani tu, ya viongozi wa chama dola intelejensia haifanyikazi yaani mikutano ya upande wa upinzni polisi wanaizuia wakati wowote wakijisikia kufanya hivyo
 
Kwanini wewe sio muumini wa vyama vingi yaani unavyoviongeleaga vyama vingi ni kama magaidi fulani...shame on you Pascal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
How do win elections

Mjue kabisa intelejensia inafanyakazi vizuri kwenye mikutano ya wapinzani tu ya viongozi wa chama dola intelejensia haifanyikazi yaani mikutano ya upande wa upinzni polisi wanaizuia wakati wowote wakijisikia kufanya hivyo
Huo upuuzi hawawezi kutufanyia tukiwa nje ya nchi
 
Wasukuma kwa ulozi na ramli mnajitahidi.Ni ajabu mwandishi nguli kuwa yahaya kwa sababu tu ndugu yake ameigeuza nchi kuwa military state.Mtu gani mwenye akili timamu akasoma ramli,kazi ya uandishi pamoja na mambo mengine ni kuinfluence positive issues kwa jamii na sio kukatisha tamaa.Ni utafiti gani unaokupata mamlaka ya kuwaamlia wapiga kura chama kitakachoshinda kinyume na katiba?Your sense of reasoning is always naive and dramatic!
 
Nashauri diaspora wasichange, kwa sababu
1) Matumizi ya pesa watu wakiuliza huwa wanaishia kutukanwa
2) Unaweza changa mwisho wa siku mbowe akaleta kituko uchaguzi mkuu
3) Pesa za mchango wa lissu zilipigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…