Mkuu hizo ni taratibu za necta kwamba kama una credit 3.Kabla ya mfumo mpya wa alama ulikuwa unaruhusiwa kujiunga na private school yoyote ufanye paper ya A LEVEL.Sijasikia kuwa wamevadilisha maana cku hizi mkuu hii nchi haieleweki. ( kupata selection ya serikali ndo ilikuwa ngumu maana walikuwa wanaangalia waliofaulu vizuri na waliobalance comb.)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.