Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]kutumia pedi kwa masaa matano ni sawa kabisa tusiwe wabahili, kutumia vitambaa mkuu hapana hadi nimesisimka ila asante kwa ushauri
kabisa mkuu na naamini hivyo ..ila kitambaa ote mbe[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Et umesisimka.....!!!!!
Nimecheka Had Co Ananiuliza Kuna Nin....??
Bt watu wanatofautiana maisha Mama angu
Ulisha wai kutumia....??kabisa mkuu na naamini hivyo ..ila kitambaa ote mbe
Bado muda wako Ngoja ukue[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
vitambaa sijawahi.. acha sitaki huwa ni siku chache lakini naziona kama mwakaUlisha wai kutumia....??
Njoo nikununulie
Wafundishe wenzako sasa.....!!!![emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]Ila vitambaa ni salama zaidi ya ped ukiwa unajua kuvipas kila utumiapo.
Hahahaaah eti umesisimka...!!kutumia pedi kwa masaa matano ni sawa kabisa tusiwe wabahili, kutumia vitambaa mkuu hapana hadi nimesisimka ila asante kwa ushauri
kabisa mkuuHahahaaah eti umesisimka...!!
Lol una hakika sjakuaBado muda wako Ngoja ukue
Kumbe umekuwa mtu mzimaLol una hakika sjakua
UnanichekeshaKumbe umekuwa mtu mzima
Karibu katika ulimwengu Huu