Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
kwa faida ya afya na usalama wa kila mwanamke.
Wasichana 56 wanafariki dunia kila cku kwa ajili ya ma2miz ya kipande ki1 cha pedi ya kuwa inasababsha kansa ktk kibofu na kizazi.
jaribu ku2mia vitambaa na iwapo una2mia pedi bac badili kila baada ya masaa5.
Kwa7bu kadiri muda unavozdi damu hubadilika na kuwa ya kijani ambayo hugeuka fangac na kuingia ktk kizazi.
Share ujumbe huu kwa wanawake wote unaowapenda.
Dr. Ambiele.......
Jukwaa la Wakubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa NN sasa[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] Vitambaa
Ndio neno lililonichekesha
cc @KARANJA007Mengine yabaki kuwa siri yetu.
KARANJA 007 kuna ujumbe wako hapa, umeachwa na@Tobinhocc @KARANJA007
Hahahaha nataka apite hapa,huwa nayapenda sana maswali yake kwenu.hahahKARANJA 007 kuna ujumbe wako hapa, umeachwa na@Tobinho
Nisaidie kushangaa...Na huu utafiti wako ulifanyia wapi ?
Je kuna Medical Journal yeyote uliyosoma kuhusiana na hili ?
Kama ndio naomba hiyo link .
Co ndio nini mkuu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Et umesisimka.....!!!!!
Nimecheka Had Co Ananiuliza Kuna Nin....??
Bt watu wanatofautiana maisha Mama angu
He,heh..Hahahaha nataka apite hapa,huwa nayapenda sana maswali yake kwenu.hahah
Mrembo,naomba umwambie mkuu Tobinho anitumie salaam,ili niweze kujibu maswali yake please.He,heh..
KARANJA 007 akipita tu hapa, neno atakalotoa ni lazma apigwe ban