Elections 2010 Kwa faida ya wale ambao hawakuipata TAARIFA KAMILI YA CHADEMA


saluti.
 

Mkuu...sasa tatizo si ndo hapo. Huoni Chadema wanaweza ku-challenge hii issue directly mahakamani kwa kudai kuwa kitu hakiwezi kuwa lawful kama hakijafuata procedure. Its that simple and its worth the shot kwa upande wa upinzani.
 

Mkuu...sasa tatizo si ndo hapo. Huoni Chadema wanaweza ku-challenge hii issue directly mahakamani kwa kudai kuwa kitu hakiwezi kuwa lawful kama hakijafuata procedure. Its that simple and its worth the shot kwa upande wa upinzani.
 
Ni kweli kabisa mkuu unachosema. ila hapa taabu itakuwa ni mpambano na system. Jana Kitiila alitoa comment yake moja kwenye mojawapo ya posts za jana akasema "System can be changed by the system". Kinachoweza kutoa possibility hizi ni pale tu ktakapokuwa na system mpya. Hapa tunagusia katiba na ndio maana naamini CHADEMA wanapigania kwa nguvu katiba kwa sababu that will be the only way to change the system.

Out of that itakuwa ni jitihada za bure maana hata hao tunadhani twaweza kwenda kwao (mahakama) ni wateule wa raisi. what do you think here?? Watakachofanya ni kutafuta mwanya wa kisheria na kikatiba (ambao naamini kwa katibu zetu na sheria zetu upo) ili kuhakikisha wanamtoa mkuu na kuendelea kuwa "mteule" wa Tanzania.

So kwa nchi yetu its only the change of consitution that guarantee the change of system and bring justice possible
 

Sisemi kuwa waache kudai katiba mpya. Ninachosema ni kuwa wanaweza kutumia hii kama moja ya njia za kudai na kumuengua kikwete.
 
Ahsante wakuu kwa taarifa.

Kwa lugha nyingine Slaa is a legitimate but not a legal president.
 
Nakubaliana na wana JF wengi kuwa kitu ambacho kinaweza kuwa mkombozi wa mtanzania, kidemokrasia ni katiba mpya ambayo itazingatia mazingira tuliyonayo, tunayoyaendea na maslai ya wengi!
 
Umesomeka mkuu. lazima tuwe makini na propaganda za CCM.


Ni kweli mkuu, propaganda kwa CCM ndio silaha yao kuu. Ila wanajua wazi ya kuwa kwa sasa hivi watanzania sio majuha tena.

Tukipiga kelele kila mahali watajua huu moto hauzimiki. Ni aibu kujikuta uko peke yako.

Waziri mkuu jana katoa kauli na wengi wanahisi propaganda zimeanza, lakini kama tutaamua kutoridhika na propaganda na kukaa kimya, bali tukaendelea na kupiga kelele kudai haki yetu ya msingi namba moja, japo kele za chura hazimsumbui mwenye nyumab kulala, safari hii itakuwa tofauti, akubali matakwa yetu au atoke akalale nje.

Kwa pamoja tutawezesha mambo haya
 
mUSISAHAU KUWA BUSARA IKIZIDI INAKUWA UROFA NA UJINGA PIA,,
 

so what?
 
Nafarijika Sana Kuona watu wengi wamehamasika kudai Katiba.. Hii inaashiria kuwa 'Chama Cha Kudai Katiba' kimekusanya wanachama wengi kuliko hata wa CCM na CHADEMA. Na Hiki ndicho kinachohitajika. Ni jukumu letu wana JF Kuwaeleza hata wananchi wa CHINI ILI WAJUE UMUHIMU WA KUWA na Katiba mpya....Tuongee Lugha Moja!
 
Umetoa mchanganuo mzuri sana,nashukuru mkuu kwa hilo!!
 
Mkuu...sasa tatizo si ndo hapo. Huoni Chadema wanaweza ku-challenge hii issue directly mahakamani kwa kudai kuwa kitu hakiwezi kuwa lawful kama hakijafuata procedure. Its that simple and its worth the shot kwa upande wa upinzani.
Hakuna mahakama yenye uwezo wa kusikiliza kitu kama hicho ; Tamko la tume juu ya matokeo ya Rais liko juu ya uwezo wa mahakama zetu ( Can not be challenged ...)
 
Hakuna mahakama yenye uwezo wa kusikiliza kitu kama hicho ; Tamko la tume juu ya matokeo ya Rais liko juu ya uwezo wa mahakama zetu ( Can not be challenged ...)

that is ur interpretation! For me challenge haina same meaning. kwa hiyo unataka kusema tume ingetangaza tu rais bila uchaguzi...mahakama zisingeweza kutatua?
 
go go go slaa....i salute u always i say, i ave my own prez....da and u r the one
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…