nyamakonge JF-Expert Member Joined May 28, 2013 Posts 363 Reaction score 131 Jul 8, 2013 #1 wananikera sana watu wale ambao kucha wana-discuss habar ya koz wanazosoma.vyuo walvyosoma nk.vjana mlioko chuoni fanyen mambo ya msing yaliyowaweka sio ubora wa sehem unayosoma.kuna watu wamesoma vyuo flan vnavoitwa vya kata lakn leo n watu wakubwa
wananikera sana watu wale ambao kucha wana-discuss habar ya koz wanazosoma.vyuo walvyosoma nk.vjana mlioko chuoni fanyen mambo ya msing yaliyowaweka sio ubora wa sehem unayosoma.kuna watu wamesoma vyuo flan vnavoitwa vya kata lakn leo n watu wakubwa