Kwa familia za kiislam mke wa kwanza na watoto huishi kwa hofu ya baba kuongeza mke, mda wowote mzee anaweza hamisha kambi mazima

Kwa familia za kiislam mke wa kwanza na watoto huishi kwa hofu ya baba kuongeza mke, mda wowote mzee anaweza hamisha kambi mazima

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Na mara nyingi baba akiongeza mke ndio anahamishia kambi mazima huko.

mke wa pili na watoto wake ndio wanapewa kipaumbele, wale wa mke wakwanza hupewa kisogo, baba anaona ni kama alikosea kuoa mwanzoni hivyo hilo kosa linawadhuru na watoto.

Kuna kisa humu mwana jf aliweka uzi baba yake ni ana pesa nyingi ila hawajali tena wao na mama yao tangu aongeze mke, hata akitoka safari za nje ya nchi hawaletei zawadi yoyote, Nyumba ya familia ya kwanza ina hali mbaya huku ya pili wanishi kwenye mjengo mitaa ya kishua, n.k.
 
Hofu ni kwa wale wasioijua vema dini na kuaminisha kwenye sunna.
 
Na mara nyingi baba akiongeza mke ndio anahamishia kambi mazima huko.

mke wa pili na watoto wake ndio wanapewa kipaumbele, wale wa mke wakwanza hupewa kisogo, baba anaona ni kama alikosea kuoa mwanzoni hivyo hilo kosa linawadhuru na watoto.

Kuna kisa humu mwana jf aliweka uzi baba yake ni ana pesa nyingi ila hawajali tena wao na mama yao tangu aongeze mke, hata akitoka safari za nje ya nchi hawaletei zawadi yoyote, Nyumba ya familia ya kwanza ina hali mbaya huku ya pili wanishi kwenye mjengo mitaa ya kishua, n.k.


Bora hata waislamu wanahalisha kwa kuoa kila mtu anajua status yake na haki zake, kuliko mtu anakuwa na vimada na watoto wengi mtaani baadae unaacha vita tu
 
Dini inataka usawa kwa wote,ukiona hivyo huyo ni mhuni kama wengine tu.
Hio ni ngumu sana kutokea, mke wa pili anavutia kamba kwake apate kila kitu furaha yake mke wa kwanza akose kila kitu.

Hayo mambo ya uke wenza ni kwenye picha tu wakiwa na mme wao hutabasamu kinafki kuzuga tu lakini huwa wanachukiana sana
 
Pia inategemea na sababu za kuongeza mke, kuna mapenzi na kuna shinikizo ama vikwazo.
 
Kaka angu anataka kuoa mke mwingine tupo tunamzuia sijui kama tutaweza maana mtoto pisi kali toto la kitusi
 
Na mara nyingi baba akiongeza mke ndio anahamishia kambi mazima huko.

mke wa pili na watoto wake ndio wanapewa kipaumbele, wale wa mke wakwanza hupewa kisogo, baba anaona ni kama alikosea kuoa mwanzoni hivyo hilo kosa linawadhuru na watoto.

Kuna kisa humu mwana jf aliweka uzi baba yake ni ana pesa nyingi ila hawajali tena wao na mama yao tangu aongeze mke, hata akitoka safari za nje ya nchi hawaletei zawadi yoyote, Nyumba ya familia ya kwanza ina hali mbaya huku ya pili wanishi kwenye mjengo mitaa ya kishua, n.k.

Wanaofanya hivyo hawafati mafundisho ya Uislam; hivyo sio Uislam bali ni tabia zao binafsi
Hii ni sawa tu na wale wengine waliotakiwa kuoa mke mmoja lakini unakuta ana nyumba ndogo kadhaa ambazo zinatumbua maisha huku nyumbani kwake wanaishi maisha ya kuunga unga...
 
Na mara nyingi baba akiongeza mke ndio anahamishia kambi mazima huko.

mke wa pili na watoto wake ndio wanapewa kipaumbele, wale wa mke wakwanza hupewa kisogo, baba anaona ni kama alikosea kuoa mwanzoni hivyo hilo kosa linawadhuru na watoto.

Kuna kisa humu mwana jf aliweka uzi baba yake ni ana pesa nyingi ila hawajali tena wao na mama yao tangu aongeze mke, hata akitoka safari za nje ya nchi hawaletei zawadi yoyote, Nyumba ya familia ya kwanza ina hali mbaya huku ya pili wanishi kwenye mjengo mitaa ya kishua, n.k.
Mtume ameruhusu
 
Huku kanda ya ziwa hata sio waislam pekee, kila familia inaishi na hofu hiyo. Watu wanajiolea tu bila utaratibu. Mjini, vijijini kila mahali
 
Back
Top Bottom