Bado watakwambia barca anabebwaAh mambo hayo, hivi hata pale Cavan alipokosa kufunga goli akiwa yeye na kipa ni kulindwa kwa Barca. Na pale Di Maria alipokosa kufunga akiwa yeye na kipa kwa mbwembwe za kutaka kuchop ilitokana na kulindwa kwa Barca. PSG kwa Barca bado.
Mkuu ucseme ya kubebwa... Sema aliitafuta.... Roben aliwah kuitafuta penalt kama hiyo.. wakat Holland wanacheza na Mexico huku Mexico wakiwa wanaongoza 1-0 mpaka dk.ya 90. World cup 2014... Nilijua safari ya waholanz imefka..lakn robben alipo Pata chance ya kuguswa alidondoka... Likawekwa Tuta.Penati ya kubebwa ni ile ya Suarez tu hayo mengine ni uzembe wa psg. Huwezi kuwa na advantage ya goli 4 afu akatolewa na kusingizia refa.
Keshakosa goal....yaan alieupga mpira nje n Di Maria na sio bek ndo maana haikua kona....Di maria alikua ana uwezo wa kumaliza game paleWewe uliona di maria alichofanyiwa na beki?
Mkuu yellow kad 5 kwa barca na 5 kwa psg... Umeandika uzi huu ukiwa na Data ama ushabkPoleni Sana PSG naona jana ni mwendo wa Mateka mikono juu,Kwa game ya jana Naona Barcelona walikua wakilindwa na VIKOSI VYA UMOJA WA MATAIFA,Ukimgusa mchezaji tu Penati Ukikoswa penati Faulu ukikoswa faulu kadi Ya Njano.
Ila PSG nao walishindwa kukaza tume iundwe kuchunguza wale wachezaji wa PGS utadhani timu haina Kocha au wachezaji wengi watakua wanatumia vyeti Bandia wachunguzwe.
Kitu ilikua Kama Ndoto ile ila bora Barca wakibebwa wanabebeka sio kama wale jamaa zangu wa jumla kuu 10-2=8
Naona Barca akikutana na Bayern Munich the Bavarian.
Tatizo sio kupiga nje ebu rudia kuchek sehem iyo utanielewaKeshakosa goal....yaan alieupga mpira nje n Di Maria na sio bek ndo maana haikua kona....Di maria alikua ana uwezo wa kumaliza game pale
Aisee nmerudia sana...Di maria keshaharibu mpira wake ndo mascherano anamgas...nakushaur uangalie upya..je n mguu wa mascherano. Uliotangulia kabla ya mpira ama n mpira kabla ya mascherano contact...Tatizo sio kupiga nje ebu rudia kuchek sehem iyo utanielewa
Mkuu yellow kad 5 kwa barca na 5 kwa psg... Umeandika uzi huu ukiwa na Data ama ushabk
Tatizo watu mnashindwa kukubali matokeo mbona Unai yy kakili kuwa barcelona iliwazidi kimchezo na walistahili kushinda,kama kweli walikuwa hawaguswi mbona akina pique,suarez,busquete walionesha kadi za njano tufikie mahala tuwe tunakubali uwezo wa mpinzani wako
ningeshangaa kama usingekuja kutema pumba[emoji23] [emoji23] [emoji23]
mkuu mimi lugha haipandi ila unaweza nitafsiria hilo neno "may be"View attachment 479708Naona Collina naye kasoma hii Pumba mkuu jamaa ndo huyo anatupwa Ndondo cup wenzetu hawapindishi Sheria bana ila kwa pesa Barca waliyompa anaweza kuanzisha Genge.
Mkuu hizo n habar za wadaku uingereza na pro.Madrid....hyo taarifa nmeshaiona mda mrefu sana kabla hata cja comment kwenye uzi wako...Collin anasubiliwa kutoa maamz lakn pia ifantino amesha Sema refa sehem ya sheria 17 za football...wajureman wakaenda mbele kwa kusema maamz ya refer yalikua zaid....so wala uctishke kabsaView attachment 479706 nafikiri ukisoma hiyo habari utapata jibu tena imekuja baada ya mimi kupost hii mada.
Sasa kama Mkuu wa Marefa UEFA Collina kaona Makosa vipi mimi na wewe
Naona Leo ameshindwa kufanya hayo mbele ya beki za deportivo La CorunaMkuu ucseme ya kubebwa... Sema aliitafuta.... Roben aliwah kuitafuta penalt kama hiyo.. wakat Holland wanacheza na Mexico huku Mexico wakiwa wanaongoza 1-0 mpaka dk.ya 90. World cup 2014... Nilijua safari ya waholanz imefka..lakn robben alipo Pata chance ya kuguswa alidondoka... Likawekwa Tuta.
Hil watu hawakulipigia kelele kwa sababu ya man u wengi walishabkia Holland.....waliona kawaida...Sasa turud kwa Suarez..,
Suarez faul alichezewa ila ilikua very technical faul...ameshakua mbele ya bek na makosa ya bek anafanya obstruction ya mwil wa Suarez kwa kumuwekea konga kwenye shingo ya Suarez....the moment alivyo weka too Suarez nae anaenda chin that means forward mwenye hakir anaenda na move ya faul
Bado watakwambia barca anabebwa
MBELEKO FC nahisi refa wa jana kapewa plot pale mitaa ya Katalunya.
Kawaida Barcelona kubebwa