kwa grade hizi ninaweza kusoma civil engineering, architech n landscaping or ICT

John porter

Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
65
Reaction score
28
Nna C ya eng, D ya civics, kiswahili, geography, na F ya maths, biology na history
Certificate na diploma ya Records management
 
Shukrani sana ila suala nilihofialo ni kutumia njia nyeusi(bribe)
 
sasa we unachoshangaa nini, au mpaka majanga yakupate ndo ujifunze?

Simaanishi nategemea au nataka kutoa rushwa na ndyo maana nimeuliza kama hzo grades zinaniruhusu kusoma hzo kozi kama La nitafute jingine la kufanya...
 
Simaanishi nategemea au nataka kutoa rushwa na ndyo maana nimeuliza kama hzo grades zinaniruhusu kusoma hzo kozi kama La nitafute jingine la kufanya...

Sidhani kama unahitaji rushwa hata kdg. Anza na certificate ili ufanye vzr kwenda mpk bachelors degreeq
 
Nna C ya eng, D ya civics, kiswahili, geography, na F ya maths, biology na history
Certificate na diploma ya Records management

Usipoteze muda kaka John. Wewe ni kilaza, huwezi engineering, utadisko au ukiendeleza kutoa rushwa ili ufaulu ni sawa, ila ukiwa eng. utajenga gorofa halafu litadondoka na kuua watu hivyo utaishia kuhukumiwa kifungo cha maisha au kunyongwa hadi kufaa!
 
Nna C ya eng, D ya civics, kiswahili, geography, na F ya maths, biology na history
Certificate na diploma ya Records management

math f, physics ?, chemistry?...!huwez kusoma hata engineerng,archtctr, labda hio ict coz hata vilaza inawahusu! Overr
 
Nna C ya eng, D ya civics, kiswahili, geography, na F ya maths, biology na history
Certificate na diploma ya Records management

Nakushauri utafute TCU Guide book,imeorodhesha Qualifications kwa kila Degree Requirements au unahitaji kusoma ktk level ipi? Hata ivo inaonesha wazi kua Wewe masomo ya Sayansi hukuweza kufaulu vizuri Math una F aFU PHY Hujasoma at the same time unataka kusoma Engneering,upo serious kweli Wewe? Alafu umesoma Dip na Cert ya Records management ni bora zaidi ukajiendeleza kwa kujikita zaidi hukohuko kwani unakua ktk Chance nzuri ya Kukabiliana na Competition KTK Ajira na ufanisi wako wa kazi. otherwise ufafanue umelenga kitu gani zaidi kusema hivyo!
 
Pole, nadhani huyo jamaa atakuwa CCM tu. Si unajua chama letu.

Inawezekana mie ni kilaza.. Ila ukirejea kauli niliyoisema vizuri sidhan kama unaweza kukurupuka na kusema hayo usemayo.. Mheshima hapo amesema "everything is possible" maana halic ya hyo kauli ni nn? Ikiwa mie nimeuliza kama grades zangu zinatosha kusomea hyo kitu.. Mheshimiwa ndye aliyehalalisha kisiasa kuwa hata kama hujafikia viwango utafanikisha hvyo ndvyo nilivyoelewa mimi jaribu kushirikisha akili yako kabla ya kubwabwaja
 

Una uhakika na usemacho? Ikiwa una judge kwa staili hyo naomba nikupe kazi ndogo ya kwenda kuangalia biography za watu wengi wenye mafanikio bila kuwasahau wanasayansi mashuhuri utagundua hawakuwa TOP katika masomo yao... I can't change the history yet am determine to have a better future even if my past sucks
 

Thaanx ur comment is very useful.. Kuhusu physics, chemistry sikuyasoma kabisa kwani Form 1 and 2 nilisoma kwa mwaka 1 na kufanya QT shule niliyosomea hawafundishi hayo masomo wala hatuyafanyii mtihani, Maths yenyewe hata Log hatukufundishwa na kwenye mtihan haikutoka ila baada ya kufanya QT nilihamishiwa shule za kawaida(ya jeshi) na kupelekwa moja kwa moja darasa la sayansi ijapokuwa nilihama na kwenda Arts nilipofika Form 4.. iliniwia vigumu kufanya vizuri kwani misingi ya masomo hayo niliikosa na unajua shule zetu za jeshi hawakutaka kujua chanzo cha mimi kufanya vibaya ni nini ilikuwa ni bakora tu.. Si kwamba siwezi ila nilikosa misingi

Unashaurije hapo
 

Ok,nimekuelewa,kwanza nikupongeze kwa nia na Bidii ya kujiendeleza kielimu ulionao licha ya kupitia mfumo wa QT Ila imeonyesha una nia,nionavyo mimi utafika mbali cha Msingi usikubali kukatishwa tamaa na watu,ila sijajua ni kwa nini umependa kusoma Engineering licha ya Background yako ktk masomo ya sayansi kutokua Nzuri,kama huna sababu ya muhimu sana ya kuhitaji Kusoma Engneering nakushauri ujiendeleze katika masuala hayohayo ulosomea Certificates na Dip kwani utakua unatengeneza Link nzuri kukabiliana na ushindani wa kielimu pamoja na Ajira kwa Ujumla!
 

Ni kitu ipo kwenye damu yangu kiukwel sipendi kabisa kazi za kubweteka ofisin, napenda kazi zenye challenge ila naona sina opt nyingi hapa ngoja nikabe hukuhuku..
Ahsante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…