Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Umeapa kuulinda wewe na nani?Hawawezi maana huu muungano tumeapa kuulinda mpaka kwa tone la mwisho la damu zetu
Mbeya tayari Ni nchi na Ina Raisi wake.Mfano Mimi muungano unanisaidia mini uvunjwe tu nataka hata Tanzania kila mkoa uwe nchi inatosha tu
Unataka uvunjike? Hujui umuhimu wake, thought u were smarterHuo Muungano hauna ridhaa ya wananchi, bali ni muungano wa shuruti wa viongozi wa ccm. Huo muungano hauna maana yoyote, bali una dalili zote kuwa upo kishirikina zaidi.
Leo hii zikipigwa kura za maoni huru za kuvunja muungano, saa 2 na nusu asubuhi, huo muungano wa maagano ya kishirikina utakuwa umevunjika rasmi.
Maagano gani ya kishirikina, ushirikina ni nn according to u? Je ukristo/ uislam si ushirikina? I thought u were smarterZipi, zitaje. Maagano ya kishirikina mnataka kila mtu ashiriki?
Mimi binafsi siujui.Unataka uvunjike? Hujui umuhimu wake, thought u were smarter
Utawala wa mabavu huisha kwa aibu.Hawawezi maana huu muungano tumeapa kuulinda mpaka kwa tone la mwisho la damu zetu
Sio ilaniyachadema semawanainchi watanzania ndiotunatakaserekari tatu mashetani ndiohawatakiserikaritatuIlani ya Chadema ni kuwa na serekali tatu
Hiyo ya kuvunja muungano sijui umeokota wapiView attachment 1563608
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app