Mabunge yaliridhia
Mitandaoni mmejaza fake accounts kupinga muungano na serikali.Haya tufanye mabunge yaliridhia.
Lakini leo hii wananchi wengi (majority) ya upande mmoja wa muungano kwa muda mrefu wanasema muungano unawanyonya, unawabana, unawadhulumu nk, katika hali hiyo, kibinadamu, unafanyaje???!!.
Ni lazima muungano ufanyiwe "overall review".
Haingii akilini kulazimisha "ndoa" ambamo ndani yake wanandoa wanaishi kwa uhasama, ni lazima ili ama ndoa ivunjike/ivunjwe au suluhu itafutwe.
Wazanzibar wanajua umuhimu na faida za Muungano.Muwe mnaweka na akiba ya maneno sio kuropoka tu,, japo naombea ccm ipite lakini kwenye swala la muungano umechemsha babaa,,,hivi nikuulize swali! muungano unafaida gani kwa wazanzibari?
Wewe hujui manufaa na faida za Muungano
Pande zote 2 hazitaki Muungano. ZNZ wanasema tunawakalia kimabavu na tunawachelewesha kupata maendeleo yao wakati Tanganyika wanadai wanabeba gharama za kuiendesha Serikali ya ZNZ.Kwa Tanganyika muungano umeleta umaskini usio na tija. Tanganyika inabeba gharama nyingi mno
Jemshid anaanzia wapi kurudi? Kwanza unajuwa umri wake ni miaka mingapi na yuko wapi sasa? Ni kibabu cha miaka 91 na kinaishi Portsmouth Uingereza kama mnufaika wa utawala wa Malkia wa Uingereza (Subject of British Empire)Wazanzibar wanajua umuhimu na faida za Muungano.
Wapemba ambao walishiriki kuwakandamiza wazanzibar wanaupinga muungano ili kurudisha utawala wa Jamshed
Lissu yupo Zanzibar kusaka kura za urais wa Jamhuri.
Nimeanza na dibaji hiyo kwa minajili ya kusema yafuatayo:
1. Katika kunadi sera zake na ahadi za mgombea wa Urais hajawahi kuzungumzia namna atakavyolinda na kuuenzi Muungano ulioasisiwa na mababa wa mataifa ya Tanganyika na Zanzibar.
2. Akiwa Bungeni, Mhe. Lissu aliwahi kuzungumzia Muungano akionyesha kutoukubali na utayari wa kuuvunja.
3. CHADEMA katika harakati zake inakwepa kujadili Muungano wetu.
4. Hawajaweka mgombea wa urais wa Zanzibar na wametangaza kumuunga mkono Maalim Seif ambaye siku zote amekuwa akidai Muungano hauna manufaa na akiupata urais wa Zanzibar atavunja Muingano huo.
Hivyo, endapo Lissu atashinda Bara na Maalim akashinda visiwani basi meza ya muungano itapinduliwa kirahisi kifuta historia tukuka ya Muungano na mshikamano wa kitaifa.
5. CHADEMA haikutangaza awali kumuunga mkono Maalim Seif hapo awali lakini baada ya Seif kuhamasisha wafuasi wake kubeba majambia, mashoka na mundu ili kuleta machafuko, hatua hiyo imeipelekea CHADEMA kuona wamepata mshirika anayeendana na malengo yao.
Ikumbukwe CHADEMA ilipozindua kampeni zake pale Zakhiem ilitangaza maandamano ya nchi mzima kipindi hiki kwa minajili ya kushinikiza hoja zao na kuleta machafuko nchini.
Kwa sababu hii na nyinginezo inapelekea allegations za CHADEMA kujiandaa kuvunja Muungano wetu tukuka.
Hivyo, sisi wapigakura tunajua nini cha kufanya hapo Oktoba 28 ili kuulinda na kuuenzi Muungano wetu.
Msanii JF
Mitandaoni mmejaza fake accounts kupinga muungano na serikali.
Wananchi mitaani wanaukubali na kuunga mkono
Baki hapo na umbulula wakoNarudia tena, hiyo October 28 hakuna uchaguzi, bali ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.