Kwa hali hii, kiswahili kitabaki hapahapa tu....

Kwa hali hii, kiswahili kitabaki hapahapa tu....

presenter

Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
69
Reaction score
22
Yaani hii nchi inakera sana, yani tovuti ya muhimu kama ya takwimu za nchi (NBS) taarifa zote zimeandikwa kwa kiingereza...Hivi wanategemea kwamba kila atayetembelea tovuti hiyo anaelewa kiingereza...Huu kweli utumwa na tumewezwa (rejea Prof. Ngugi wa Thiongo) itembelee uone..www.nbs.go.tz
 
Back
Top Bottom