Wakati wenzake wanajadiliana kwa hoja, yeye kauchapa usingizi totoro. Halafu bado akataka kurudi tena bungeni. Na mtu kama huyu si ajabu akajiita mzalendo.
Wakati wenzake wanajadiliana kwa hoja, yeye kauchapa usingizi totoro. Halafu bado akataka kurudi tena bungeni. Na mtu kama huyu si ajabu akajiita mzalendo.