Kwa hali hii ngumu ya uchumi ni biashara gani inalipa?

makolola

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2014
Posts
765
Reaction score
289
Kutokana na uchumi kubana sana ni biashara gani ambayo inalipa kwa mtaji wa chini ya milioni moja?
 
Inayolipa sana kama ni rahisi na wengi wakifanya haitalipa tena ... inabidi utumie knowledge au service yako iwe bora kuliko wengine.

Biashara inategemea mahitaji ya sehemu ulipo ni zile zile usual suspects uchuuzi, ukulima na ufugaji unless una knowledge fulani ufanye consultancy
 
By the way kutokana na uchumi kubana na pesa kushuka hii ndio fursa ya kuuza nje kwa faida maradufu issue ni kupata tu hicho cha kuuza nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…