Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
Jamaa kaamka asubuhi, kavaa track suit na kumuamsha mkewe!.
MUME: Amka twende jogging mke wangu?
MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mie tipwatipwa?
MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya.
MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?
MUME: Basi yaishe endelea kulala
MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
MUME: Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby.
MKE: Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?
MUME: Jamani mi sijasema hilo
MKE: Kwa hiyo mie muongo?
MUME: Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii
MKE: Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?
MUME: Sikia we lala mie naenda jogging.
MKE: Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
MUME: Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe..
MUME: Basi ngoja tu nilale siendi jogging
MKE: Kwahiyo ulikua unanijaribu?
Wanawake Mungu anawaona 😀😀
NDIO MAANA WANAUME TUNAKUFA MAPEMA NA KUWAACHA WENGI MKIWA WAJANE
⚰⚰⚰
MUME: Amka twende jogging mke wangu?
MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mie tipwatipwa?
MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya.
MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?
MUME: Basi yaishe endelea kulala
MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
MUME: Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby.
MKE: Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?
MUME: Jamani mi sijasema hilo
MKE: Kwa hiyo mie muongo?
MUME: Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii
MKE: Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?
MUME: Sikia we lala mie naenda jogging.
MKE: Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
MUME: Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe..
MUME: Basi ngoja tu nilale siendi jogging
MKE: Kwahiyo ulikua unanijaribu?
Wanawake Mungu anawaona 😀😀
NDIO MAANA WANAUME TUNAKUFA MAPEMA NA KUWAACHA WENGI MKIWA WAJANE
⚰⚰⚰