Kwa hali hii ya reli ya Mombasa-Nairobi jiandaeni kupokea wakimbizi toka Tz..

akili yako iko na kasoro...nadhani imejaa uji...kwa taarifa yako, kuna wasichana warembo wengi sana Kenya...ukitaka nikuletee picha ntaleta...
leta moja tuone ila usichukue tena ethiopia
 
Duh, kesho naenda Nairobi. Sirudi bongo ng'o. Mambo gani kila siku ni Bashite, Bashite, halafu Bashite mwenyewe anadunda tu ofisi ya RC kama nchi haina Rais vile! Bora nikawe railway attendant Kenya.
 
these are just the famous ones...if I start to bring pics of the ones in my facebook account.....wacha tu...tafuta hoja nyingine..mkichoka na Kibera, mnaleta haya....mkishindwa na development, huwa mnakimbilia kuharibia Kenya jina...waresh wako wengi sana...tembea uwaone
 
huwa mkona ujinga sana! mkikosa hoja ya kudebate na wakenya huwa mnaleta upuuzi kama huu hapa JF...hawa waresh nini wa wapi?



Na sisi tukisema tuchague " The best " haswa wa mitandaoni kama wenu hawa walojikoki wakakokika., Mnatufkia kweli...??
 
huwa mkona ujinga sana! mkikosa hoja ya kudebate na wakenya huwa mnaleta upuuzi kama huu hapa JF...hawa waresh nini wa wapi?
Tuwekee Wasichana na vijijini sio hawa maselebrities mpaka waingie Saloon ndio wapige Picha
 
Tuwekee Wasichana na vijijini sio hawa maselebrities mpaka waingie Saloon ndio wapige Picha
hakuna shida ntakuletea wale wakenya wasiojulikana hata kidogo...alafu wa tz ndio huwa hawaendi salon?yaani mna upungufu wa kufikiria...hamna hoja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…