Kwa hali hii ya reli ya Mombasa-Nairobi jiandaeni kupokea wakimbizi toka Tz..

Kenya wanajtahidi sana Hongera zao, ila hatuwezi kuwa wakimbizi kisa hao watoto wa kke wakawaida tu
 
how can you be sure that Diamond is a tanzanian? maybe coz he was born in tz... wewe tumia akili wacha maswali ya ujinga...


Punguza Pooovu., Unakunywa OMO ?? ama una ka drycleaner tumboni... Taratibu sio vita hii
 
Kenya wanajtahidi sana Hongera zao, ila hatuwezi kuwa wakimbizi kisa hao watoto wa kke wakawaida tu
kweli...now can we discuss imortant issues.not stupid things...eti watz waresh kuliko wakenya...kwa hiyo sasa? wakenya ni matajiri kuliko watz...watz warembo kweli ila wanahangaikia kule Tandale nakwingineko
 
Punguza Pooovu., Unakunywa OMO ?? ama una ka drycleaner tumboni... Taratibu sio vita hii
mkitumia akili kufikiria, hutamwona hata mkenya mmoja anatoa povu ovyo hapa...il nimewagundua, mkishindwa hoja zote, mnaanza mambo kama haya...
 
Daah
Sasa tatizo miguu hawana halafu na msambwanda hamnaa
Mi siangaliagi suraa
 
kweli...now can we discuss imortant issues.not stupid things...eti watz waresh kuliko wakenya...kwa hiyo sasa? wakenya ni matajiri kuliko watz...watz warembo kweli ila wanahangaikia kule Tandale nakwingineko
maskini wengi Kenya kuliko tz..
 
kweli...now can we discuss imortant issues.not stupid things...eti watz waresh kuliko wakenya...kwa hiyo sasa? wakenya ni matajiri kuliko watz...watz warembo kweli ila wanahangaikia kule Tandale nakwingineko

Kweli mkuu Wakenya mnajitahidi kwa upande wa kuijenga nchi yenu ila ishu sio utajiri ila viongozi wenuwanajielewa na wanajua nini wanafanya hawa wa kwetu wanashindana kubaki madarakani na si kingine

Kwenye suala la utajiri sisini matajiri kuliko nyinyi kwani utajiri wa nchi unapimwa na Ukubwa wa ardhi plus rasilimani, wingi wa watu pamoja na uongozi bora sasa ninyi mmetupita hapa kwenye uongozi bora
 
asante sana! napenda nikiona mtu akitumia reasoning...sio kuleta topics za kuponda wenzio...ukienda jukwaa la tz, hutampata mkenya amepeleka habari za tanzia kwa mfano kule...its called maturity...many of ur comrades Sir are suffering from inferiority complex...
 
huwa mkona ujinga sana! mkikosa hoja ya kudebate na wakenya huwa mnaleta upuuzi kama huu hapa JF...hawa waresh nini wa wapi?
Sijaona mrembo zaidi ya kushuhudia walivo wateja wa kemikali( tunaita urembo wa dukani)

Ebu lete vitu vya asili achana na hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…