dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,172
- 3,082
1. Asosikia la Mkuu huvunjika guu
2. Ujanja mwingi mbele kiza
3. Mkataa pema pabaya pana mwita
4. Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimengu
5. Mtaka nyingi nasaba hupata mwingi MSIBA
6. Mchuma janga hula na wakwao
7. Mpanda farasi wa wili huchanika msamba
8. Tamaa mbele mauti nyuma
9. Sikio la kufa halisikii dawa
10. Lakuvunda halina ubani
Twende kazi huenda pakapatikana mafunzo kwa wakaidi.............
Endelea muhimu usitoke nje ya mada
11--
Sent using Jamii Forums mobile app
2. Ujanja mwingi mbele kiza
3. Mkataa pema pabaya pana mwita
4. Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimengu
5. Mtaka nyingi nasaba hupata mwingi MSIBA
6. Mchuma janga hula na wakwao
7. Mpanda farasi wa wili huchanika msamba
8. Tamaa mbele mauti nyuma
9. Sikio la kufa halisikii dawa
10. Lakuvunda halina ubani
Twende kazi huenda pakapatikana mafunzo kwa wakaidi.............
Endelea muhimu usitoke nje ya mada
11--
Sent using Jamii Forums mobile app