Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Wasira anadhihirisha dhahiri 80 years old man can not think and he is mentally tired.
Kama vijana kama Christian wakipewa nafasi wanakosa chembe ya hikima kwenye brain wasira anakila dalili kukichoma moto chama cha Mapinduzi.
Hii ni ishara kwamb Sukuma gang bwana Bashir akahitajika.
Kiufupi vijana wengi ni empty completely brain drain empty headed...mtu kama mchemba. Pale wazarani akisoma notes na kuanzisha tax za kuwaumiza watu. Christian wakijilimbikizia mali na kufanya totalitarian ubabe ni ishara tukufu nchi imeishiwa think-tank na badala yake kumtumia wasira.
Ukiwaangalia kina aweso unaona nchi ya wanunua private jet baada ya 20 years. Nchi imenishiwa watu wenye maadili. Aweso kwa mfano dsm yenyewe Inalia na huduma ya maji nchi ataiweza. Tumshukuru samia ila ana vijana wa hovyo
Soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Soma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa Chadema, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe
Kama vijana kama Christian wakipewa nafasi wanakosa chembe ya hikima kwenye brain wasira anakila dalili kukichoma moto chama cha Mapinduzi.
Hii ni ishara kwamb Sukuma gang bwana Bashir akahitajika.
Kiufupi vijana wengi ni empty completely brain drain empty headed...mtu kama mchemba. Pale wazarani akisoma notes na kuanzisha tax za kuwaumiza watu. Christian wakijilimbikizia mali na kufanya totalitarian ubabe ni ishara tukufu nchi imeishiwa think-tank na badala yake kumtumia wasira.
Ukiwaangalia kina aweso unaona nchi ya wanunua private jet baada ya 20 years. Nchi imenishiwa watu wenye maadili. Aweso kwa mfano dsm yenyewe Inalia na huduma ya maji nchi ataiweza. Tumshukuru samia ila ana vijana wa hovyo
Soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Soma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa Chadema, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe