NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Robertinho (sambaroketo boy)
"Napenda kucheza mechi kubwa sana na kikosi changu nimekiandaa vizuri kwakweli napenda sana tena sana kucheza mechi kubwa Kama hizi."
Kocha wa Al ahly.
"Tumekuja kuvunja mwiko wa Simba sc kutofungwa nyumbani kwao maana mpira sio historia na historia zipo ili zivunjwe"
Kwa kauli Kama hizi kwa sisi watu wa mpira tushaelewa nini Al ahly watakifanya/ wataidharirisha Simba sc mbele ya mashabiki wao wanaopenda kucheza mpira kwa mdomo.
Shubamiti.
Tukutane kwa mkapa.
"Napenda kucheza mechi kubwa sana na kikosi changu nimekiandaa vizuri kwakweli napenda sana tena sana kucheza mechi kubwa Kama hizi."
Kocha wa Al ahly.
"Tumekuja kuvunja mwiko wa Simba sc kutofungwa nyumbani kwao maana mpira sio historia na historia zipo ili zivunjwe"
Kwa kauli Kama hizi kwa sisi watu wa mpira tushaelewa nini Al ahly watakifanya/ wataidharirisha Simba sc mbele ya mashabiki wao wanaopenda kucheza mpira kwa mdomo.
Shubamiti.
Tukutane kwa mkapa.