Kwa haya matokeo naweza pangiwa hge

Kwa haya matokeo naweza pangiwa hge

No More Drama

Member
Joined
Jun 2, 2013
Posts
95
Reaction score
19
Salam
wana jf msaada tafadhali naoma kuuliza je naweza pangia form 5 kwa matokeo hayaaaS****/014*
M
25
III
CIV-D HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C BIO-D B/MATH-F
 
HGE na EGM, hizi combs lazima somo moja huwe umepata kuanzia B na kuendelea, najingine kuanzia C na kuendelea ili kuchaguliwa shule za government. Hapo shule ya za serikali utapata ila tegemea kupangiwa HGL au HKL .
 
Salam
wana jf msaada tafadhali naoma kuuliza je naweza pangia form 5 kwa matokeo hayaaaS****/014*
M
25
III
CIV-D HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C BIO-D B/MATH-F

nenda private dogo koz una F ya math usitegemee govt huwezi pangwa.
 
Back
Top Bottom