Kwa haya wanayotufanyia CCM kuna uwezekano mkubwa wa kuwag'oa 2025 lakini sio kwa chama chetu CHADEMA au ACT Wazalendo

Kwa haya wanayotufanyia CCM kuna uwezekano mkubwa wa kuwag'oa 2025 lakini sio kwa chama chetu CHADEMA au ACT Wazalendo

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Wananchi hawana mbadala wa kuipachikia CCM ila ukweli ni kuwa hawaitaki tena. Sio wazee wala vijana.

Tozo, ufisadi upendeleo umekithiri ndani ya CCM huku raia wakiwa hoi kimaisha.

ACT Wazalendo ni mamluki waganga njaa. Hawapo kwaa ajili ya kumsaidia mwananchi aondokane na utawala usiofaa wa CCM.

CHADEMA sisi ni watafuta pesa tu na kujipigia na wananchi walishashutuka.

Kikipatikana chama makini kikawapa wananchi ukweli hata kura zikiibiwa CCM haitoboi 2025
 
Kamanda wa CCM usiyechoka mbona unahangaika sana na Chadema? Utawala wa nchi hua hauanzii kwenye vyama huanzia kwa watu, wewe hautaki kuleta mageuzi ila unataka uletewe mageuzi, ni ujinga uliotukuka. Nchi zinazofanya mageuzi ujue wananchi wake hawajalala kama kamanda wa CCM asiyechoka, yeye anakoroma akiota ndoto ya kuletewa mageuzi na Chadema! Ni ujinga uliotukuka.

Kamanda wa CCM jifunike shuka endelea kulala.
 
Wananchi hawana mbadala wa kuipachikia CCM ila ukweli ni kuwa hawaitaki tena. Sio wazee wala vijana.

Tozo, ufisadi upendeleo umekithiri ndani ya CCM huku raia wakiwa hoi kimaisha.

Act wazalendo ni mamluki waganga njaa. Hawapo kwaa ajili ya kumsaidia mwananchi aondokane na utawala usiofaa wa CCM.

Chadema sisi ni watafuta pesa tu na kujipigia na wananchi walishashutuka.

Kikipatikana chama makini kikawapa wananchi ukweli hata kura zikiibiwa CCM haitoboi 2025
Kama "wameshutuka"?Acha kuandika kichoko weye!Kaanzishe kikundi chako ukisajili ili uiondoe CCM yako.Teneti nililokununulia limekutosha?Na yale maembe mabichi na pemba umekula?Jitahidi kula utakonda.
 
Katibu wa ccm Hai Ana sifa tofauti na waccm ninaowafahamu:-
1. Ni muongo 100%
2. Si msema kwa Kweli 75%
3. Anapenda chuchu kupitia kiasi
4. Hana uzoefu na ukatibu wa wilaya ndani ya ccm kaanzia kazi hiyo Hai.
5. Ni mla rushwa kupitia kiasi.
6. Ana maneno mengi kuliko vitendo
7. Ni katibu mchumia tumbo ambapo ni rahisi kununuliwa na upande wa pili
8. Kila wiki end ikifika anafiwa na anakwenda Tanga kwao na kuachia jimbo chadema.
9. Ni katibu mwenye uwezo wa kufanya vikao 9 kwa siku maeneo tofauti na watu tofauti bila kuandika agenda za vikao mwisho hakumbuki akichokiongea jana.
10. Ni katibu amvaye hana siri kila neno analiongea kila mahali padipo kujali usiri ya kazi za chama.
11. Ana tabia ya kuwakosoa viongozi wa ccm hadharani bila kuja uwepo wa viongozi wa serikali au watumishi wa umma.
12. Hana dira ya wilaya anayoiongoza hivyo hajajiandaa kukabiliana na Chadema 2025.

Ushauri:
1. Katibu wa ccm Mkoa wa kilimanjaro ukimya wako ofisini kwako bila kupiga hodi Hai kufuatilia mwendo mzima wa uchaguzi wa ccm Hai, maana yake unaliweka jimbo rehani.
2. Fuatilia mwendo mzima wa Katibu wa ccm Hai, ukizingatia ni mgeni Hai, ni mgeni kwa kuteuliwa kuwa katibu wa ccm wilaya na jimbo la Hai lilikuwa chadema miaka mingi na hiki ni kipindi cha uchaguzi ndani ya chama.
 
Kamanda wa CCM usiyechoka mbona unahangaika sana na Chadema? Utawala wa nchi hua hauanzii kwenye vyama huanzia kwa watu, wewe hautaki kuleta mageuzi ila unataka uletewe mageuzi, ni ujinga uliotukuka. Nchi zinazofanya mageuzi ujue wananchi wake hawajalala kama kamanda wa CCM asiyechoka, yeye anakoroma akiota ndoto ya kuletewa mageuzi na Chadema! Ni ujinga uliotukuka.

Kamanda wa CCM jifunike shuka endelea kulala.
Kamanda katka ubora wake
 

Attachments

  • tapatalk_1570946898001.jpeg
    tapatalk_1570946898001.jpeg
    31.3 KB · Views: 5
Back
Top Bottom