Kwa hekaheka hizi tutalipwa kweli mishahara

signatotory wote wapo msiban mzee tulia kwanza hadi jumatat siku ya kaz.endelea kuweka daftra kwa mangi
Acha uongo, watu tumeshatumia laki saba hadi sasa, zimebaki 1.4M. Bila shaka zitanivusha mwezi
 
Jamani Simbanking ya CRDB inazingua au ndio sina changu wajameni?!
 
Inazingua sio ww tu
Yaani nimedata hapa nikajua ishabuma hiyo....
Ahsante Mkuu ngoja niendelee kusubiri kupoe maana mwenye kibanda kanikaba koo leo hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…