Kwa heri Manji Yanga, karibu GSM Yanga

Tinde nsalala

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2017
Posts
248
Reaction score
253
Ndiyo hivyo tena,vita hii inayoendelea pamoja na mambo mengine lkn upo mkono wa mtoto wa mstaafu mkubwa wa nchi atakaye bwana Manji aondoke ktk klabu hiyo na tayari alishawashawishi jamaa zake (GSM) waingie na waendeleze ufadhili ktk klabu hiyo.

Ni suala la mda tu,lkn ukweli ni huo.Mbambe wa mkoa yeye ni chambo tu na wenye kazi yao ni hao hapo juu niliowataja.

Ndiyo maana nasema,KWA HERI MANJI YANGA NA KARIBU GSM YANGA.
 
Ndiyo hivyo tena,vita hii inayoendelea pamoja na mambo mengine lkn upo mkono wa mtoto wa mstaafu mkubwa wa nchi atakaye bwana Manji aondoke ktk klabu hiyo na tayari alishawashawishi jamaa zake (GSM) waingie na waendeleze ufadhili ktk klabu hiyo.

Ni suala la mda tu,lkn ukweli ni huo.Mbambe wa mkoa yeye ni chambo tu na wenye kazi yao ni hao hapo juu niliowataja.

Ndiyo maana nasema,KWA HERI MANJI YANGA NA KARIBU GSM YANGA.
 
Manji ana pesa lakini dharau mingi, wacha atiwe adabu......anadhani hizi ni zile zama za jk!
 
Huyo mtoto wa mkubwa ndiye aliyepigania mpaka Manji akawa mdhamini wa Yanga.
Hahahaha,ndg walishatofautiana toka mwaka juzi.Rejea uchaguzi wa mapema mwaka juzi uliotakiwa ufanyike pale jangwani na MANJI akawashawishi wanachama ili ucheleweshe R ndiye alikuwa wa kwanza kutokukubaliana na jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…