Tinde nsalala
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 248
- 253
Ni suala la mda tu.Mafumbo au majungu? Any way as ante kwa taarifa mtoto wa shek Yahya mtabiri
sina mbavu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mafumbo au majungu? Any way as ante kwa taarifa mtoto wa shek Yahya mtabiri
Du!namimi nimeinyaka sehemu hiyo sasa tegemea timu kwenda china na south,unga noma
Du. Pole.manji akiondoka yanga imekufa
Sana!Jamaa jembe.Sema ndo hivyo tena fitina zinamwonea kijana wa watu.Lkn,pale jangwani hawezi kusahaulika kamwe!Na km kuna adui namba moja wa wana wananchi wa pale jangwani,ni huyo mpenda SIFA mkuu wa Dar.Aliyoyafanya Manji Yanga si ya kubeza hata kama ataondoka. Tafadhali Aheshimiwe
Hahahaha,ndg walishatofautiana toka mwaka juzi.Rejea uchaguzi wa mapema mwaka juzi uliotakiwa ufanyike pale jangwani na MANJI akawashawishi wanachama ili ucheleweshe R ndiye alikuwa wa kwanza kutokukubaliana na jamaa.Huyo mtoto wa mkubwa ndiye aliyepigania mpaka Manji akawa mdhamini wa Yanga.