Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Law heri=kwaheri
Tenno. =Tecno
Watu wa QNET mna mbwembwe sana nyieHabari za mwaka Jana wana jf.Ni matumaini yetu tumevuka salama tunamshukuru Mungu na wenzetu ambao hawako sawa tunawapa pole.
Mwaka Jana ulikuwa na mafanikio sana Kwangu Kwani nilianzisha baadhi ya project na zikanipa returns Nzuri.Baada ya mafanikio kutoka kwenye project nimeamuwa kujipongeza na mzigo mpya Iphone 8(storage 256GB).Naitupa kale ka Tekno boomJ7.
Assets>rewards.Nashukuru mwaka 2017
Hiyo ni simu tu kudaadeki.... Haya hongera
Nilikuwa naumia sana kuona watoto wadogo wanatamba na simu zao.Usije ukaanza ujinga wa kutuuliza eti kitu flani nafanyaje? Sjui naekaje miziki sjui nadownloadije video za ngono hizo ni shida zako....
We unatoka sim ya elfu hamsini mpaka ya milion mbili? Umekula maharagwe ya wapi wewe? Una akili kweli?
Familia yako wamekula nini? Au ndo unaona mafanikio ni simu tuu?
usichukulie shida zako kama zake, huwez jua anamaisha gan mkuu.Usije ukaanza ujinga wa kutuuliza eti kitu flani nafanyaje? Sjui naekaje miziki sjui nadownloadije video za ngono hizo ni shida zako....
We unatoka sim ya elfu hamsini mpaka ya milion mbili? Umekula maharagwe ya wapi wewe? Una akili kweli?
Familia yako wamekula nini? Au ndo unaona mafanikio ni simu tuu?
...Hivi vyuo havijafunguliwa?iPhone noma sana.typing error hiyo
Mkuu hizo iphone zimepewa bei ya juu ili itumiwe na watu wenye uelewa mzuri wa simu na teknolojia kama unajijua uwezo wako ni mdogo ni kheri usijipe majukumu makubwa kudhani ni sifa.Kama unatumia Tekno am sorry
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukinunua gari utaita press conference
Mkuu hiyo boom j7 nakupa 20,000/=Habari za mwaka Jana wana jf.Ni matumaini yetu tumevuka salama tunamshukuru Mungu na wenzetu ambao hawako sawa tunawapa pole.
Mwaka Jana ulikuwa na mafanikio sana Kwangu Kwani nilianzisha baadhi ya project na zikanipa returns Nzuri.Baada ya mafanikio kutoka kwenye project nimeamuwa kujipongeza na mzigo mpya Iphone 8(storage 256GB).Naitupa kale ka Tekno boomJ7.
Assets>rewards.Nashukuru mwaka 2017