Amekaa kinyarwanda, umemtoa kigali nini mzeee?Michuzi mtoto mzuri hivi si utakufa kwa presha jiji hili la mafataki aisee? Huyu ni mke wa kwanza kwa michuzi au kuna mwingine? naona kama binti mbichi kabisa?
Tatizo Michuzi anaforce ujana kinguvu, hataki kabisa kukubaliana na mabadiliko ya mwili na umri kuwa ashakuwa amekula chumvi nyingi.halafu ww una macho like an eagle eye, hicho ndio kidole cha yaleeeeeee maswala, switch
ila kama kidogo vile, Michuzi na huyu bibie hawaendani, demu kama mdogo pili michuzi mfupiiiiiiii, lazima michuzi atachanganyikiwa wait, ila si mke wa nne huyu au? + wa pembeni mhhh
mmmmm we mbaba, usijekuwa fataki:embarrassed:
Ka mwanafunzi wa secondary fulani vile:embarrassed:
Toto la Kiganda hilo. Michuzi ka-import... inawezekana akawa na mchanganyiko wa Kinyarwanda si unajua tena hata mke wa Museveni ni dizaini.Amekaa kinyarwanda, umemtoa kigali nini mzeee?
Hizo shingo zao bana!
acha masarau basiii...that is TZ one and only super modo Fide Irangaaa...una lingine??
alimpata kwenye mashindano ya umiss? au kwenye uphotoaji? goodlooking couple