Kwa heshima na taadhima, Job Ndugai naomba unisamehe!

angekuwa spika wa bunge mpaka leo usingesikia yale.
KArma ni mafungu manne ila yote yamemfikia yeye

kipindi alivokuwa spika alikuwa ngozi nyororo
View attachment 3009365
 
Hivi si tunaambiwaga kopa kwa sababu maalumu, sasa wakikopa mbona hawatwambii sababu ya kukopa?
 
Hivi si tunaambiwaga kopa kwa sababu maalumu, sasa wakikopa mbona hawatwambii sababu ya kukopa?
Uambiwe wewe nani na unafaida gani hata ukiambiwa 😐!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…