Kwa heshima na taadhima masoud Djuma ajiuzulu

We mpuuzi no. 1
Ajiuzuru kwa lipi? Tena mi nimempenda sana huyu kocha toka amefika kamchezesha karibia kila mchezaji ili angalie viwango vyao halafu awe na first eleven nzuri.
 
We mpuuzi no. 1
Ajiuzuru kwa lipi? Tena mi nimempenda sana huyu kocha toka amefika kamchezesha karibia kila mchezaji ili angalie viwango vyao halafu awe na first eleven nzuri.

first eleven ipi ya kutafutwa wakati sio kocha mgeni acheni kuzingua
 
Ha ha haaaa Simba kwa uchochezi hamjambo
 
We mpuuzi no. 1
Ajiuzuru kwa lipi? Tena mi nimempenda sana huyu kocha toka amefika kamchezesha karibia kila mchezaji ili angalie viwango vyao halafu awe na first eleven nzuri.
Safi sana Mkuu.
Huyu kocha ni kocha mzuri sana, kila mchezaji anampa nafasi.
Gyani alikuwa anaweka benchi lakini huyu kocha amemuibua na anaonekana mzuri uwanjani.
Amog ndiye aliyewapa ubingwa Yanga mwaka jana kwa kuwaweka benchi Ajibu na Mkude kwa chuki zake binafsi.
Leo tunawaona MO Ibrahim, Ndemla, Gyan, Luizio, na wengineo wakionesha viwango vyao wazi kabisa.
Huyo Kocha nimemkubali sana na apewe muda nina uhakika atafanya yale wapenzi wa Simba wanapenda.

Asante Masud Juma kazi yako inaanza kuonekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…