Kwa heshima ya Hussein Bicar

Kwa heshima ya Hussein Bicar

PutinV

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
1,046
Reaction score
1,643
IMG_0806.JPG

Hussein Amin Bicar 1913-2002

Hussein Amin Bicar alizaliwa mwaka 1913 huko Alexandria Misri. Baada ya kuhitimu masomo yake 1934 alianza kazi yake ya sanaa kuwa moja ya walimu wakubwa wa sanaa nchini Misri akitumia muda wa miaka 60 akiwa kama mwalimu wa sanaa hasa uchoraji katika shule na vyuo mbalimbali.

Bicar ni moja ya wasanii ambao Africa inajivunia kuwashuhudia kutokana na uwezo wake mkubwa kisanaa.

Ikumbukwe Bicar hakuwa mchoraji tu bali pia mpigaji wa vyombo muziki na mshairi.

Kwa upande wangu kazi za Bicar zinanivutia sana kwani zina utulivu mkubwa sana ndani yake.

Baadhi ya kazi za HUSSEIN BICAR.

IMG_0819.JPG

The Landlord

IMG_0815.JPG

Hanging Clothes

IMG_0817.JPG

The Wedding Procession

IMG_0813.JPG

The Village Girl

IMG_0812.JPG


IMG_0811.JPG

The Tamboura Player

IMG_0820.JPG

Nubian Fantasy

IMG_0821.JPG

The Green Planet (Self-Portrait)

IMG_0822.JPG

THE GRAIN SILO

IMG_0823.JPG

Marine in the Moonlight

IMG_0824.JPG

Untitled

IMG_0825.JPG

Nubian Woman and Goat

IMG_0826.JPG

Arouss Al Nubia (Nubian Bride)

IMG_0827.JPG

Al Ashjar Tamout Wakifa (The Trees Die Standing


Ameshinda tuzo mbalimbali kama utambuzi wa mchango wake katika sanaa.

Medal of pride from government of Morocco, 1942

Patent of appreciation from Minister of Culture in Syria, 1961

First class Medal of Science and art, 1967

Honorary Award of Biennale of Alexandria, 1970

Certificate of Honor from Art Academy, 1972

Gamal Abdel Nasser Award with participation of the Soviet Union, 1975

The State Merit Award in 1978

National Certificate of Appreciation and Medal of Honor, 1980

Mubarak prize (Egypt 2000).

IMG_0828.JPG

Bicar wakati wa uzee wake

Nawasilisha

Sf
 
Heshima kwake Hussein Bicar,May his soul Rest in Peace.
 
Back
Top Bottom