Kwa heshima ya Hussein Bicar

PutinV

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
1,046
Reaction score
1,643

Hussein Amin Bicar 1913-2002

Hussein Amin Bicar alizaliwa mwaka 1913 huko Alexandria Misri. Baada ya kuhitimu masomo yake 1934 alianza kazi yake ya sanaa kuwa moja ya walimu wakubwa wa sanaa nchini Misri akitumia muda wa miaka 60 akiwa kama mwalimu wa sanaa hasa uchoraji katika shule na vyuo mbalimbali.

Bicar ni moja ya wasanii ambao Africa inajivunia kuwashuhudia kutokana na uwezo wake mkubwa kisanaa.

Ikumbukwe Bicar hakuwa mchoraji tu bali pia mpigaji wa vyombo muziki na mshairi.

Kwa upande wangu kazi za Bicar zinanivutia sana kwani zina utulivu mkubwa sana ndani yake.

Baadhi ya kazi za HUSSEIN BICAR.


The Landlord


Hanging Clothes


The Wedding Procession


The Village Girl




The Tamboura Player


Nubian Fantasy


The Green Planet (Self-Portrait)


THE GRAIN SILO


Marine in the Moonlight


Untitled


Nubian Woman and Goat


Arouss Al Nubia (Nubian Bride)


Al Ashjar Tamout Wakifa (The Trees Die Standing


Ameshinda tuzo mbalimbali kama utambuzi wa mchango wake katika sanaa.

Medal of pride from government of Morocco, 1942

Patent of appreciation from Minister of Culture in Syria, 1961

First class Medal of Science and art, 1967

Honorary Award of Biennale of Alexandria, 1970

Certificate of Honor from Art Academy, 1972

Gamal Abdel Nasser Award with participation of the Soviet Union, 1975

The State Merit Award in 1978

National Certificate of Appreciation and Medal of Honor, 1980

Mubarak prize (Egypt 2000).


Bicar wakati wa uzee wake

Nawasilisha

Sf
 
Heshima kwake Hussein Bicar,May his soul Rest in Peace.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…