GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Nlishaanza kuandika kuelezea ukweli na uhalisia wa Jambo hili. Nikakumbuka kwanza kwenda Bank kuangalia salio.
Bahati mbaya nimekuta pesa nlizo nazo hazifiki Mil 7. Ikabidi ni delete maana nimejaribu hata kuangalia kama kuna jamaa wanaweza nikopesha niwe nazo hizo pesa standby kwa ajili ya dhamana na faini baada ya kuandika jambo nililo nalo kichwani.
Jamaa zangu nao hawana pesa. Nimeamua nisubiri mpaka mwisho wa mwezi nikilipwa salary tu ntakuja kuandika hii issue.
Najua kila atakayesoma atafikicha macho yake kwa muwasho. Na atakayesikia masikio yatamwaka moto.
Ngoja nikusanye pesa zikikamilika nakuja kusema na sitokuwa na waswas hata nikizingirwa.
Bahati mbaya nimekuta pesa nlizo nazo hazifiki Mil 7. Ikabidi ni delete maana nimejaribu hata kuangalia kama kuna jamaa wanaweza nikopesha niwe nazo hizo pesa standby kwa ajili ya dhamana na faini baada ya kuandika jambo nililo nalo kichwani.
Jamaa zangu nao hawana pesa. Nimeamua nisubiri mpaka mwisho wa mwezi nikilipwa salary tu ntakuja kuandika hii issue.
Najua kila atakayesoma atafikicha macho yake kwa muwasho. Na atakayesikia masikio yatamwaka moto.
Ngoja nikusanye pesa zikikamilika nakuja kusema na sitokuwa na waswas hata nikizingirwa.