Ngoja nijitahidi kusaka umaarufu huenda nikakaa baada ya diamond ππππππAnayemtumia akimchoma anampandisha mwingine,
Juma nature
Mr Nice
Ali Kiba
Diamond
Hao ndo watu waliowahi kuwa na umaarufu uliopitilizaa
HahahaNgoja nijitahidi kusaka umaarufu huenda nikakaa baada ya diamond ππππππ
Hiki kilugha gani umetumia?Siku zingine usikimbilie kuanzisha uji kama hakafu wataka nyama thou has is sie!
Punguza wivu kwa mwanaume mwenzio
[emoji848]Watoto wa mjini siku hizi huita VIBE KAMA LOTEEEE... Mond wa enzi hizo alikuwa km rais wa marekani anavotembelea nchi za Afrika
Je diamond wa sasa hv anaweza kufikia tena umati km huo? Wa watu ambao wapo tayari kuacha kazi zao kumsubiri yeye....
Hebu ziangalie
Ungeelewa kilichoandikwa nahisi ungekuwa kwny kundi la magenious... lakin masikin ya Mungu hata kuelewa hujaelewa umekimbilia kureply.. ngoja nkuweke kundi la mabogas... nani kaongelea kushuka??? Uwage unasoma vizuri bhana unatuahibisha.... ππππKushuka sio Leo Wala kesho japo kuwa mda wake ukifika atashuka,but unaonekana Ni mwanaume mwenyewe gubu kupitiliza ko angalia Hilo gubu lisije kukunyonga