Weka na ya Kiba ya zamani na ya sasa tuone kama zina tofauti.Watoto wa mjini siku hizi huita VIBE KAMA LOTEEEE... Mond wa enzi hizo alikuwa km rais wa marekani anavotembelea nchi za Afrika
Je diamond wa sasa hv anaweza kufikia tena umati km huo? Wa watu ambao wapo tayari kuacha kazi zao kumsubiri yeye....
Hebu ziangalie
Kumbe imekutachi Sasa nasema hivi wewe Ni bogas bin mapapaiUngeelewa kilichoandikwa nahisi ungekuwa kwny kundi la magenious... lakin masikin ya Mungu hata kuelewa hujaelewa umekimbilia kureply.. ngoja nkuweke kundi la mabogas... nani kaongelea kushuka??? Uwage unasoma vizuri bhana unatuahibisha.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao waswahili tu misemo yao inakinzana kimawazo..Bado waiamini misemo yaoKama wewe hivi ulivotumia bando lako na muda wako kuangalia nini kimeandikwa humu.... waswahili ni noma sana, walijua kuna watu km nyie ndo maana wakaleta msemo wa "Nyani haoni kundule"
Anayemtumia akimchoma anampandisha mwingine,
Juma nature
Mr Nice
Ali Kiba
Diamond
Hao ndo watu waliowahi kuwa na umaarufu uliopitilizaa
Kwema wangundu
Licha ya msanii diamond platnumz kunufaika kimziki, kwa sasa inaonekana.. Hana tena ile ladha kama hapo awali.
Je ni kweli..
😁😁😁😁Duuh,,hizi simatifoni hizi[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Nifundishe kusoma jinsi ulivyo andika hapaSiku zingine usikimbilie kuanzisha uji kama hakafu wataka nyama thou has is sie!
Punguza wivu kwa mwanaume mwenzio
Oya unaandika nini?Siku zingine usikimbilie kuanzisha uji kama hakafu wataka nyama thou has is sie!
Punguza wivu kwa mwanaume mwenzio
Unataka nipigwe ban mkuu? **** bwana ...[emoji23] [emoji23] [emoji23]Duuuuh [emoji849][emoji849][emoji849] uzeni tu hizo cmu zenu... sasa kum* ndo nini?
Kiba hastahili kuwepo hapo maana umaarufu wake umechagizwa na 'mgongo' wa bifu la Diamond, before that alikuwa msanii maarufu wa kawaida tu kama walivyokuwa kina MarlawMkuu apo Kuna mmoja ungemtoa kisha umuweke saida kalori
Hapo kwa Ali kiba hapana sijawahi kuushuhudia huo umarufu wake labda uniambie ilikua miaka gani?Anayemtumia akimchoma anampandisha mwingine,
Juma nature
Mr Nice
Ali Kiba
Diamond
Hao ndo watu waliowahi kuwa na umaarufu uliopitilizaa
Watoto wa mjini siku hizi huita VIBE KAMA LOTEEEE... Mond wa enzi hizo alikuwa km rais wa marekani anavotembelea nchi za Afrika
Je diamond wa sasa hv anaweza kufikia tena umati km huo? Wa watu ambao wapo tayari kuacha kazi zao kumsubiri yeye....
Hebu ziangalie
Mtu unakaa masaa kibao kumuangalia tu binadamu mwenzako
Life is not fair
Hapa kuna lugha gongana bila shaka. Kuna mmoja hajamuelewa mwenzake, kakurupuka tu kumshambuliaKama wewe hivi ulivotumia bando lako na muda wako kuangalia nini kimeandikwa humu.... waswahili ni noma sana, walijua kuna watu km nyie ndo maana wakaleta msemo wa "Nyani haoni kundule"