Kuna wimbo wa kijana anaitwa NAY WA mitego una mistari inayosema 'makahaba wenye viwango wapo bongo muvi',kuna baadhi ya wasanii wa bongo muvi kama HEMED,SHAMSA FORD,SINTA N.K walimtukana sana NAY kwa mistari hyo huku wakisema ni uongo..
LAKINI JE KWA PICHA HII AMBAYO IMEPIGWA JUZI TU KWENYE JUKWAA MOJA LA TAMASHA LA FIESTA LINALOENDELEA HAPA NCHINI,KUNA ATAKAEBISHA JUU YA KAULI HIYO YA NAY.?
View attachment 63999
HAPA AUNT EZEKIEL AMEVAA KIGAUNI KIFUPI HUKU AKIKATA KIUNO,MPAKA CHUPI INAONEKANA KIDOGOO..
Sikuzote ukweli unauma sana,sasa kwa hali hiyo nini kiliwafanya wambwatukie kaka wa watu????au ndo ile methali ya nyani haoni_ _ _ _inapotumika????????Kuna wimbo wa kijana anaitwa NAY WA mitego una mistari inayosema 'makahaba wenye viwango wapo bongo muvi',kuna baadhi ya wasanii wa bongo muvi kama HEMED,SHAMSA FORD,SINTA N.K walimtukana sana NAY kwa mistari hyo huku wakisema ni uongo..
LAKINI JE KWA PICHA HII AMBAYO IMEPIGWA JUZI TU KWENYE JUKWAA MOJA LA TAMASHA LA FIESTA LINALOENDELEA HAPA NCHINI,KUNA ATAKAEBISHA JUU YA KAULI HIYO YA NAY.?
View attachment 63999
HAPA AUNT EZEKIEL AMEVAA KIGAUNI KIFUPI HUKU AKIKATA KIUNO,MPAKA CHUPI INAONEKANA KIDOGOO..
Duuuh!laana.Hapo mimi ndo sielewi wanaume wengine wanatafuta vigezo gani kwa mke wa kumuoa,eti huyo naye anakaribia kuolewa...is it?of all the gals on earth huyu jamaa kaona huyundo anafaa kuwa mke?binti wa hivi ana thamani hata ya kumlipia trip moja tu ya Dubai?I am afraid I am primitive kama wake mnaowaoa ndo hao....aisee Anti Ezekiel ukipita mbele yangu na hivyo vinguo mi ntakumwagia bia,wambie na wenzako...NAY was 100% right...aaaarghhhh,kichefuchefu