Kwa hii picha nay wa mitego hakukosea.


Akili za nape hiz.!
 
By fidelis zul zorander

Alafu hapo nyuma kama dizain flani pamelowa..au me mwenyewe ndo naona..?

NI KWELI. KITAALAMU HAPO KAVAA NEPI/PAMPASI NA IMESHALOWA BILA YEYE KUJUA KWA SABABU OVER SIZE ZILISHAPITA SIKU NYINGI ZIKAKAFUMUA MARINDA YA NYUMA UKIMSOGELEA KARIBU HARUFU YAKE MMMH .
 

Hahaha..
 
Mavazi ni dalili ya au ishara za mtu ana tabia njema au la. huwezi ukatembea uchi halafu ushawishi watu una tabia njema. Nenda kwa machangu wote uone kama kuna anyevaa vizuri. Na ili asionekane kuwa anatabia mbaya, akitoka nyumbani atavaa vizuri na akifika eneo la kazini atabadilisha. sasa kama mtu anatoka nyumbani yupo uchi ujue huyo amekubuhu na mshipa wa aibu umekatika. Huwezi ukavaa nguo ambayo inaonyesha nguo zako za ndani mapaja wazi halafu utuambie mavazi eti mavazi sio ishu!!!!
 
Eti bb harusi mtarajiwa! Nahisi huyo bwana kampata hukohuko.
 
Aaaah jamani mbona hvyo wasifanye hvyo, hadi kinyaa jamani...........Khaaaaah
 
Mkuu hayo mavazi ni addition tu, ingekuwa hakuna kashfa nyingine tungeweza kukubali mawazo yako. Usiwe kama Nape, tunataka hawa watu wabadilike.
 
Hapo ujue na anayetaka kumuoa naye ana tabia kama zake.
 
Eti bb harusi mtarajiwa! Nahisi huyo bwana kampata hukohuko.

hivi hawa bongo movi wanaenda fiesta kufanya nini? Haya si ni matamasha ya kutiana uvivtt na wanamuziki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…