naomba niulize labda mimi sijui sana, mavazi ya msichana yanaweza kuwa ishara au dalili za mtu kuwa ana tabia njema? hao malaya wa mombasa wanaovaa hijabu kama waaumini wa kiislam(ninja sytle) ukiwaona barabarani si tunawaona wanatabia nzuri na ukasema wanafaa kuwa wake bora? hao ni maoni yangu tu lakini kwa upande wangu vyovyote mtu atakavyovaa bora ni mtu mzima 18+ ukizingatia alikuwa kwenye burudani hapo na usishangae watu walimfurahia sana. so kila mtu na maisha yake nafikiri au wadau mnasemaje? naomba mnieleweshe labda sielewi.
kashazoea kuliwa kiboga ndi maana pako wazi nyujma hukoAlafu hapo nyuma kama dizain flani pamelowa..au me mwenyewe ndo naona..?
Sure..
Akili za nape hiz.!
umenifanya nirudi kuiangalia picha kwa umakini zaidi.............ukweli nyuma pameloa.Alafu hapo nyuma kama dizain flani pamelowa..au me mwenyewe ndo naona..?
Hapo ujue na anayetaka kumuoa naye ana tabia kama zake.Duuuh!laana.Hapo mimi ndo sielewi wanaume wengine wanatafuta vigezo gani kwa mke wa kumuoa,eti huyo naye anakaribia kuolewa...is it?of all the gals on earth huyu jamaa kaona huyundo anafaa kuwa mke?binti wa hivi ana thamani hata ya kumlipia trip moja tu ya Dubai?I am afraid I am primitive kama wake mnaowaoa ndo hao....aisee Anti Ezekiel ukipita mbele yangu na hivyo vinguo mi ntakumwagia bia,wambie na wenzako...NAY was 100% right...aaaarghhhh,kichefuchefu
umenifanya nirudi kuiangalia picha kwa umakini zaidi.............ukweli nyuma pameloa.
Eti bb harusi mtarajiwa! Nahisi huyo bwana kampata hukohuko.