Kwa hii Rafu aliyomfanyia Sure boy Hakika KARMA haita mwacha salama

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Msimu ulioisha alimkanyaga teke la usoni kiungo wa Yanga Sure boy nusura amuuwe na refarii alimwangalia tu. Hata kamati ya nidhamu ya TFF nayo haikuto adhabu yoyote.

Tulipiga kelele sana achukuliwe hatua za kinidhamu ikiwemo kufungiwa ila haikusaidia kitu kwani aliendelea na uchezaji wake wa Kung Fu huku akiumiza wachezaji wa timu pinzani.

Sasa Mungu sio Athumani, Wacha Karma ichukue mkondo wake
View attachment 2758487
 
Ulipiga kelele wewe na nani?semea nafsi yako sio wingi,gadeem
 
Mbona ya kawaida sana ile aliyochezewa inonga je angevunjwa kama Marcelo alivyomvunja yule jamaa kungekalika kweli
 
Mbona ya kawaida sana ile aliyochezewa inonga je angevunjwa kama Marcelo alivyomvunja yule jamaa kungekalika kweli
 
Huyo jamaa anacheza kwa sifa sana. Just imagine nguvu alizotumia kuliga ule mpira alfu katwgeshewa njumu kmmk.
 
Rafu mbaya sana hii ,atakuwa ni mcheza kung fu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…