mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,962
- 2,477
wapenda wana JF hii rasimu ya katiba kweli ni nzuri ila kuna mambo kama mabaraza ya katiba yasiporekebisha na ikapita hatimaye ikaleta katiba mpya basi utsatokea mgogoro wa kikatiba
moja kati ya mambo hayo ni huu mfumo wa serikali tatu, mimi siyo mtaalam wa sheria lakini kwa hili nahisi litatengeneza mgogoro wa kikatiba. wanasema kuwe na serikali tatu yaani ya muungano ya tanzania bara na ya zanzibar, sasa tujiulize je hiyo rasimu ikipitishwa na kuwa katiba ni lini itaanza kutumika? je itatumika kabla ya katiba ya tanzania bara au ya tanzania bara itafuata?
kama itatumika kabla ya katiba ya tanzania bara hapa ndo mgogoro utapoanzia, ikiwa katiba inatambua uwepo wa serikali tatu itakuwa na uhalali gani wa kutumika wakati serikali moja haipo? je hiyo rasimu imeitoa wapi hiyo tanzania bara? je nchi yetu ta tanganyika tukiirudisha kwa jina letu la Tanganyika itatambuliwaje na katiba ya muungano wakati tiyari hiyo katiba itakuwa inaitambua tanzania bara? je hiyo rasimu ikipita na kuwa katiba ina uhalali gani wa kuitambua nchi ambayo haipo? haya tukishatengeneza katiba yetu mtangayika atakuwa ni nani? je ni mambo gani yatakuwa ya tanganyika na mengine ya muungano? na je hayo mamlaka ya katiba ya muungano imeyatoa wapi wakati katiba ya tanganyika haipo? na hatujuia kama hiyo katiba itaukubali muungano au la? na je ikitokea katiba ya tanganyika haikubaliani na mambo fulani ya muungano kitatokea nini?
KUNA MAMBO MENGI YA KUHOJI KABLA YA HII RASIMU YA KATIBA KUPITISHWA, SWALI JE HAYO MABARAZA YA KATIBA YATAYAONA HAYA? PIA HII RASIMU KUNA VIPENGELE VITAHAMASISHA UUAJI, MFANO PALE INAPOSEMA MGOMBEA KUTOKA CHAMA CHA SIASA AKIFA BASI NAFASI YAKE ITAJAZWA NA CHAMA CHAKE BILA KURUDIA UCHAGUZI, HATU0ONI HAPA TUTAUWANA BILA SABABU?, HEBU FIKIRIA MTU KAMA FILIKUNJOMBE ( MFANO TU) HAKUBALIKI KWENYE CHAMA CHAKE NA SASA HIZI WANASHINDWA KUMFUKUZA AU KUMFANYA CHOCHOTE MAANA HAINA MAANA KWAO NA WANAHOFIA WAKIRUDI KWENYE UCHAGUZI WANAWEZA KUPOTEZA JIMBO KWA UPINZANI, SASA KWA HUU MFUMO MPYA WATAKUWA HAWANA CHA KUHOFIA MAANA HATA AFE JIMBO LINABAKI KWAO JE HATUONI KUWA HUU UTARATIBU UTASABABISHA VYAMA VIWE VINAPANGA NJAMA HATA ZA KUWAUWA WALE WABUNGE AMBAO HAWAKUBALIANI NAO ILI KUWAWEKA WATU WAO?
KWA SELIKALI TATU KWAHERI MUUNGANO KARIBU TANGANYIKA. NAOMBA KUWAKILISHA
moja kati ya mambo hayo ni huu mfumo wa serikali tatu, mimi siyo mtaalam wa sheria lakini kwa hili nahisi litatengeneza mgogoro wa kikatiba. wanasema kuwe na serikali tatu yaani ya muungano ya tanzania bara na ya zanzibar, sasa tujiulize je hiyo rasimu ikipitishwa na kuwa katiba ni lini itaanza kutumika? je itatumika kabla ya katiba ya tanzania bara au ya tanzania bara itafuata?
kama itatumika kabla ya katiba ya tanzania bara hapa ndo mgogoro utapoanzia, ikiwa katiba inatambua uwepo wa serikali tatu itakuwa na uhalali gani wa kutumika wakati serikali moja haipo? je hiyo rasimu imeitoa wapi hiyo tanzania bara? je nchi yetu ta tanganyika tukiirudisha kwa jina letu la Tanganyika itatambuliwaje na katiba ya muungano wakati tiyari hiyo katiba itakuwa inaitambua tanzania bara? je hiyo rasimu ikipita na kuwa katiba ina uhalali gani wa kuitambua nchi ambayo haipo? haya tukishatengeneza katiba yetu mtangayika atakuwa ni nani? je ni mambo gani yatakuwa ya tanganyika na mengine ya muungano? na je hayo mamlaka ya katiba ya muungano imeyatoa wapi wakati katiba ya tanganyika haipo? na hatujuia kama hiyo katiba itaukubali muungano au la? na je ikitokea katiba ya tanganyika haikubaliani na mambo fulani ya muungano kitatokea nini?
KUNA MAMBO MENGI YA KUHOJI KABLA YA HII RASIMU YA KATIBA KUPITISHWA, SWALI JE HAYO MABARAZA YA KATIBA YATAYAONA HAYA? PIA HII RASIMU KUNA VIPENGELE VITAHAMASISHA UUAJI, MFANO PALE INAPOSEMA MGOMBEA KUTOKA CHAMA CHA SIASA AKIFA BASI NAFASI YAKE ITAJAZWA NA CHAMA CHAKE BILA KURUDIA UCHAGUZI, HATU0ONI HAPA TUTAUWANA BILA SABABU?, HEBU FIKIRIA MTU KAMA FILIKUNJOMBE ( MFANO TU) HAKUBALIKI KWENYE CHAMA CHAKE NA SASA HIZI WANASHINDWA KUMFUKUZA AU KUMFANYA CHOCHOTE MAANA HAINA MAANA KWAO NA WANAHOFIA WAKIRUDI KWENYE UCHAGUZI WANAWEZA KUPOTEZA JIMBO KWA UPINZANI, SASA KWA HUU MFUMO MPYA WATAKUWA HAWANA CHA KUHOFIA MAANA HATA AFE JIMBO LINABAKI KWAO JE HATUONI KUWA HUU UTARATIBU UTASABABISHA VYAMA VIWE VINAPANGA NJAMA HATA ZA KUWAUWA WALE WABUNGE AMBAO HAWAKUBALIANI NAO ILI KUWAWEKA WATU WAO?
KWA SELIKALI TATU KWAHERI MUUNGANO KARIBU TANGANYIKA. NAOMBA KUWAKILISHA