Nimesikitishwa sana kwa kupata ujumbe wa kutoa ni moyo! Changia CCM kuanzia 300, 500 na 1000. Nimehuzunishwa kwani mimi si mwanachama wa CCM na wala sina ubia na chama hiki kilichojaa unyonyaji sana.
Nani kawapatia namba yangu? Kama ni mashirika ya simu kwanini yanatoa namba za wateja wake bila hidhini ya mteja? Ningeomba ufafanuzi katika hili na hatua stahili. Huu ni usumbufu kwa wasiousika
Nani kawapatia namba yangu? Kama ni mashirika ya simu kwanini yanatoa namba za wateja wake bila hidhini ya mteja? Ningeomba ufafanuzi katika hili na hatua stahili. Huu ni usumbufu kwa wasiousika