likalangu fredy
Member
- Sep 11, 2014
- 47
- 7
habarin wakuu! binafsi naamani pamoja na sababu zingine ndugu zetu walimu(taraji) hawajapata ajira mpaka sasa ili uandikishwaji wa daftari la kudumu la kupiga kura uishe au uwe umefanyika sehemu kubwa ndipo wapangiwe sehemu za kaz na hapo watashindwa kupiga kura kwan watakuwa wameandikishwa sehemu zngine.so kama kwel watahairisha tena tujue hii ndio target yao,labda watangaze leo cku ya muungano, wanafanya hv kwasababu walimu hao wengi wao hawaipend ccm.