Elections 2010 Kwa hili chadema hamtaeleweka

Kuna watu hapa jamvini wanajiunga na jamvi kwa makusudi ya kutuchanganya tu na halafu watatoweka wakimaliza kazi walizotumwa na mabwana zao. Inakuwa taabu hata kuchangia maana ni muhimu kuangalia lini mleta hoja amejiunga jamvini kabla hujasoma alichokileta. Wanatafuta mahali pa kupumulia pressure zao kwani wanajisuta mioyoni mwao. Utawajua kwa hoja zao.
 
Hamna uchakachuzi huyo ni Dr asiyekubali kushindwa!
Wahenga walisema Asiyekubali kushindwa..... na Kinana leo TBC Taifa amesema pamoja na kuupata Udokta wa Dini (canon law) safari hii ameupata udokta wa Uzushi...kazi kwelikweli
 

Dr Slaa hajasema kila aliyechaguliwa katika uchaguzi mkuu 2010 hakuchaguliwa kwa uhuru na haki bali anazungumzia baadhi ya matokeo, ambayo ana ushahidi nayo kuwa kura zilizopatikana kwenye baadhi ya vituo vya wapiga kura ni tofauti na zile zilizotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Taifa. Kwa hiyo, anazungumzia matokeo, ambayo ana ushahidi nayo na siyo yote. Maana itakuwa vigumu kukataa kile ambacho mtu hana ushahidi wake. Ila wewe kama una ushahidi pia wa hao wabunge wa Chadema unaweza kuutoa ili wajulikane ni akina nani hao ili makosa kama hayo yarekebishwe. Kwa kifupi kinacholalamikiwa ni kuona kuwa 2 + 2 siyo 4 bali ni 3 au 7. Hesabu za namna hii ni ngeni katika hisabati tunazojifunza na kama kuna kanuni mpya inayotumika kuonesha 2 + 2 = 3 au 7, basi hiyo kanuni ndiyo tunayoomba ielezwe kwa wote.

Kwa hiyo, mjadala ulenge zaidi 'facts' kuliko ushabiki au hisia. Sisi wengine hapa hatuna chama tunachounga mkono na tunaunga mkono kila kitu kizuri kilicho katika kila chama na tunakosoa pale tunapoona ukweli na haki vinapindishwa. Wote tuajili hoja kwa kuzingatia maslahi ya nchi na siyo ushabiki wa vyama. Udhaifu wa kimfumo au utawala tunaouendekeza utatugharimu kwa baadaye - kama siyo kwetu sisi itakuwa kwa watoto na wajukuu wetu. Turekebishe pale tunapokosea ili mambo yetu yaende vizuri!
 
wahenga walisema asiyekubali kushindwa..... Na kinana leo tbc taifa amesema pamoja na kuupata udokta wa dini (canon law) safari hii ameupata udokta wa uzushi...kazi kwelikweli

alipotoa tuhuma za epa kwa mara ya kwanza walisema hivyohivyo, lakini mwisho wa siku ukweli umedhihiri, na siku ukweli wa kuchakachua kura ukidhihirika sijui kinana atasemaje????
 


Wewe ndiye ambaye hautawaelewa CHADEMA na hatutaki uwaelewe kwa sababu Tanzania itakuwa salama zaidi ikikosa watu kama wewe
 
wewe unaeijua tueleze unaijua vipi kulingana na mada iliyopo sebuleni
 

kusua kuingia bungeni ndio upuuzi kabisa. Toka lini ccm waliacha kuiba kura? Lakini kidogo kidogo ukombozi umeendelea kupatikana kila baada ya uchaguzi licha ya wizi wa kura uliofanyika. Mathalani mwaka 2000 kama akina dr slaa, zitto na wabunge wengine wa upinzania wangesusa kuingia bungeni kwa madai ya wizi wa kurakama unavyoshauri kashafa zote zilizofichuliwa yaani epa, richnmond, n.k zisingejulikana na raslimali za tanzania hususan madini visingeboreshewa utaratibu wa ke kwa nia ya kuliongezea taifa mapato.

Yaani timu ya chadema ikisusa kuingia bungeni ndio mafisadi watasherehekea.

Nina wasi wasi hoja ya kususa kuingia bungeni inaanzishwa na uwt waliohusika kuiba kura zetu kwa nia ya kuvunja nguvu na mshikamano wa wanachadema
.
 
Gazeti la jana la MWananchi na hata Nipashe yaliandika yafuatayo: Mwananchi:· 1. EU: CCM imebebwa na vyombo vya dola· 2. Madola wakosoa sheria za uchaguzi IPP Media· Waangalizi Madola: Uchaguzi haukuwa na uwanja sawa · Ucheleweshaji wa matokeo wasikitisha waangalizi. Tuwe wakweli jamani hayo yamesemwa na watu wa nje bado wewe Mtanzania unakataa huo ukweli!
 

You have a point!
 
Umemjibu vizuri kweli! na mie ngoja nimuongeze.......'kengele/kitumbua chako'!

say thanx to my post..
nazan jamaa imebaki kidogo tutamchakachua kijambio chake
 
say thanx to my post..
nazan jamaa imebaki kidogo tutamchakachua kijambio chake

Kumbe hapa kuna ma great thinkers wa matusi.

Argue bwana mdogo do not shout!
 


More data pls
 
kumbe hapa kuna ma great thinkers wa matusi.

Argue bwana mdogo do not shout!

am very sorry mkuu, ujue naona haki yetu tunachukuliwa hivi hivi.. Hadi napata jazba...
Samahanini wadau wa jf
 
Azipeleke mahakamani zikathibitishwe, hatutaki RAW DATA hapa , please !

Mahakama yenyewe ya bongo, inayo amrishwa ni yupi apewe ushindi ama askilizwe?, mahakama kuu kuliko zote Bongo ni sisi wananchi,

Asante Dr wa ukweli kutuwekea data halisi, endelea kukusanya zote na vidhibitisho vyote ili waumbukE hadi wakose pa kuficha nyuso zao!
Hakuna adhabu iliyo kubwa kama fedheha ya mtu mzima kuumbuliwa mchana kweupe

HONGERA SANA DR. WA UKWELI, KUPITIA KWAKO TUMEPATA MASLAA MENGI BUNGENI, MADIWANI HAO NDO USISEME. MUNGU AKUBARIKI SANA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…