Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,349
- 1,011
Mimi ni mwanachama wa CDM mwenye kadi no. CDM 0545314 iliyotolewa tawi la chuo kikuu cha Tumaini(SMMUCo) moshi-2011.
Toka mwaka huo mpaka leo nimeshindwa kulipia ada ya uanachama kwa kuwa nakosa stika za malipo kwa kila ofisi ninayoenda.
Niliwahi kwenda iringa ofisi kuu ya chama walinizungusha tu njoo kesho mara oooh jioni.
The same applied nikiwa mbeya kila ofisi naenda kutaka kulipia naambiwa stika hazipo mpaka nimechoka.
NOTE: viongozi wetu weken hizo stika kila ofisi ili kurahisisha malipo ya kadi za uanachama.
Natumai ujumbe umefika kwa wahusika kupitia hapa JF.
Toka mwaka huo mpaka leo nimeshindwa kulipia ada ya uanachama kwa kuwa nakosa stika za malipo kwa kila ofisi ninayoenda.
Niliwahi kwenda iringa ofisi kuu ya chama walinizungusha tu njoo kesho mara oooh jioni.
The same applied nikiwa mbeya kila ofisi naenda kutaka kulipia naambiwa stika hazipo mpaka nimechoka.
NOTE: viongozi wetu weken hizo stika kila ofisi ili kurahisisha malipo ya kadi za uanachama.
Natumai ujumbe umefika kwa wahusika kupitia hapa JF.