holygrail
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 1,303
- 597
Uamuzi wa kuwasimamisha b12,Adam Mchomvu na Diva sio wa busara kibiashara.
Kipindi cha xxl kimekuwa na wapenzi wengi sana kutokana na chemistry nzuri ya mchomvu na b12. Hawa jamaa wanajua sana na ndio maana kipnd chao kina wadhamini wengi sana.
Namshauri Ruge asikurupuke akawafukuza hawa vijana kwani atarudisha nyuma clouds fm kimapato.
Kipindi cha xxl kimekuwa na wapenzi wengi sana kutokana na chemistry nzuri ya mchomvu na b12. Hawa jamaa wanajua sana na ndio maana kipnd chao kina wadhamini wengi sana.
Namshauri Ruge asikurupuke akawafukuza hawa vijana kwani atarudisha nyuma clouds fm kimapato.