Kwa hili dawa ya ukame ipo kumbe.

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Kufuatia mechi ya soka kati ya Yanga na Simba jana huko Mwanza, kanda ya ziwa ilipata mvua usiku wa kuamkia Ijumaa na Jumamosi. Leo na kavu.
Nafikiria kama msimu wa mvua ukichelewa ni bora kuwatafuta Simba na Yanga watuletee mvua badala ya kuanza kutoa miito ya sala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…