Nimesikitika sana kw idadi kubwa ya wanafunz wapya wa vyuo vikuu kukosa mikopo mwaka huu ni kweli kuwa isingekuwa rahisi watu wote kupata lakini kwa idadi ya waliokosa inatisha mwaka huu. Lawama zangu za kwanza nazielekeza kwa mwaisobya afisa habar wa heslb kwani weng wanalaumu kwa kutokujua criteria and guideline za kuomb mkopo hapa kaka umechemka kwani mwöngozo na masharti ya kutoa mkopo mwaka huu uliuficha makusudi kwani hata kwenye website yenu hamukutoa ili watu weng waombe mpate 30000 zao bure. Lawama za pili nazielekeza kwako kaka c, mwaisobya kwa kutudanganya kuwa mtatoa mikopo kwa wanafunzi 31 elf alafu mwisho unasema ni 29elf izo pesa zingne mnataka kukopeshana wenyewe hapo heslb au mnahifadh kwa ajil ya kukopeshana wakati wa uchaguz maana tunasikia kuna wenzenu humo heslb wanataka kuwa waheshimiwa mjengoni kwa hili tutaliona baadae kwan mwisho wa udhalimu wenu unakaribia