Kwa hili hongera Ommy Dimpoz

Trousers aliyovaa Dimpoz kwenye picha ya juu si ile iliyovaliwa kwenye picha ya chini,hata rangi ni yofauti..angalia kwa umakini utabaini..

ndo hta mie nawashangaa hawa an not surual tu hata shat ni ingine. na hata texture ya picha n mbl tofaut
 
hahahaha picha ya mwenyewe ni ya zamani kuliko aliyopiga na mdee???? OMG!! kwa hiyo alizihifazi hizo nguo toka zamani hizo akijua ipo siku atakuwa msanii aje aziigizie??? aliyetuloga watanzania Mungu asimsamehe milele.

hujielew ww. kanawe uso uje usome na uangalie izo picha vizur afu ndo uongee.. omy mwenyew kasema ukweli we unabisha nn sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…