Kwa hili kila mtanzania anala kujibu

Kwa hili kila mtanzania anala kujibu

wazawa

Senior Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
184
Reaction score
58
Wakati Rais Mkapa anahiburia na kuipigia chapua CUF mwaka 2000 kuwa ni chama kiislamu na matokeo ya vifo Zanzibar na sintofahamu kibao na kadhia iliyowakumba mashkhehe na kunganika ni kile kilichoitwa vita ya ugaidi kwa taharuki zote hivi ile haukuwa ni udini
huu wa 2010 na mambo haya yote ndio imekuwa kero na udini wa kunzunguumzia na matokeo yake ndio ruhusa ndio kweli inaleta mparanganyiko nchini?

Hadi pale tutapoanza kuona tatizo lipo zaidi ya tunavyolazimishwa ndio itakuwa suluhu kwetu watanzania wenzangu
Kwanza kabisa udini ni janga la taifa hili na najiaminisha hakuanza au kuchochewa na serikali 2010 na Kikwete bali unaenda mbali hadi mkapa kwa kuona na kunyamazia

Kuanguka kwa CUF kwa kule kuonekana kwake ni chama cha dini mwaka 2000 hii ni ikiwa tutotaka kutokuona kawaida kwa serikali au sasa CCM kutumia udini kama giliba na hila zingine kwa vyama vya upinzani kujibakisha katika utawala na sisi watanzania kuuopekea na kuchochea au kupitiliza zaidi ya ilivyokusudiwa hadi kufikisha uchochezi huu ushike hatamu na kufika hapa tulipo leo.

Je uvimilivu na kawaida unaanza kuwekewa mistari na kupigiwa kelele, mazoea na upendo umekuwa haki, haki ya kudai na kushindana kwa maandanamano, majibizano yaliokuwa yanaishia kuonyeshana kidole yana kwenda mbali sasa kuanza kuchinjana na kutukanana hadharani

Je ni hivi ni lile kundi lilikuwa dhaifu kuonekana kuwa halina mlengo wa kumaendeleo kwa kuonekana huku wao wakiwa sababu na imani kuwa mfumo flani ndio shida au kikwazo kwa miongo mingi limefikia kilele chake na kutanua mikucha yake?

Au lile kundi lilekuwa likijihesabu wasomi, wenye malengo na mipango kedekede lenye sera ya kusimamia amani na wapole kwa wao kuweza kuwa na miono yakinifu ni sio kile kinasemwa kubebwa na ukoloni na baadaye dola, wanatumia hila kunyima jamii nyingine fursa yakujipenyeza kustawi

INAFAA KUWEKA POZI KUTAFAKARI SOTE

Hivi majibazano haya ni kweli tu ni kuanzia 2010 na kile kinachoelezewa ukimya wa Kikwete au ni dhahiri ya chuki ilijikita ndani mwetu sote tokea miongo mingi.

Ukifanya analysis hata za post katika majukwaa mbali mbali ya hapa zinaongela mada flani zinazungumzia masuala ya kijamii ktk mlengo wa dini waislamu wa tanzania wanakuja hoja nyingi kuonyesha ghiliba na mipango ya makusudi inayoratibiwa na kusamamiwa kuwarudisha nyuma kielemu na kiuchumi.je tushawahi kutafakari mashiko ya hoja zao kulingana na historia ya utwala nakusudia ukoloni kuwa huenda wakawa na hoja na kuona namna yakutoka hapa

Au je ni hoja dhaifu isio kuwa na mashiko kuelezea au kuendelezwa kwao kujustfy hujuma wao na harakati za maisha haswa baada ya uhuru na juhudi aluzofanya baba wa taifa kufuta gepu hilo

je ni kwa vp hadi leo kwao imekuwa n nyimbo na lalamiko lao. Je uvivu wa kufikiri,kukosa mipango na utegemezi wao kwa dola unaowapeleka kuona wa nyananyaswa na hivyo kupelekea hasira na mihemuko kwa serikal na uhalisia wa yanayoendelea sasa na migogoro mingi iliyokuja na kuisha huko nyuma hivi s kuwa kweli kuna hila za makusudi zinazofanyika kuzuia ustwahi n mchenuo wa jamii moja dhidi rejea kila kinachosemwa kuwa waislamu sio wapenda shule (dunia) bali madrsa (akhera) kwao muhimu. hoja ya inayosema MU kati ya serikali na mashirika ya dini,hoja ya mahakama ya kadhi, kuteuliwa viongozi wa kiserikali mashirika yake,
je kwa haya ukweli upo wapi achilia uchangiaji wa kushindana

Na sasa hata historia ya uhuru nayo inazua mijadala pia na kuonekana haki iliyopaswa kutambuliwa kwa imani zao walio anzisha na washiriki wake kwa hayo na mengine mengi imewaacha wapigania dini kushipalia na kuharakatisha kile kinachoitwa kutetea na kupigania hatakufikia kufia dini

Utaona kwa namna dhahiri ya chuki zinavyojipambanua na uhasama uliochwa ukomae hadi leo n hili ni uwakilishi wa asilimia kubwa ya watanzania ya namna udini umekomaa na kumea ndani yetu na hivyo kulingana ni tofauti ya mhemuko ya dini ndio kinachopelekea kuonekana vurugu hizii chuki na hila hizi ndio tatizo hapa ni ni pana sana kwa kila mmoja anavyodhihirisha kulingana namna alivyoguswa
anayeamka kusema na kuonyesha jazba yake nacpia anayenyamazia na kutenda hawa wote sawa tu.

Tukiruhsu mioyo yetu ilisheni shehena ya udini iamua mustakabali wetu kwa hili kila mtanzania ana la kujibu
 
Back
Top Bottom