Narudia tena IGP anadharau sana, unasema utaangalia namna wayamalize kwa amani? Gwajima si alisema kuna viongozi wamehongwa? mambo ya kuhongwa yanaisha vipi hujui rushwa kesi yake inaishaje? kwanini usiruhusu Gwajima aje awataje hao waliohongwa ili wahashughulikiwe kwa mujibu wa sheria?
hizi naona kama ni dharau kwa mamlaka ya uteuzi wa Rais
Sirro anadharau sana, mi naona tatizo linaanzia kule juu, bora katiba ibadilishwe Rais akifia madarakani nchi irud kwenye uchaguzi
Mtu anatuhumu Viongozi wamepewa hongo kuingiza chanjo means alikua anamaanisha Rais Samia bado ameachwa?
kipindi kile mtu yoyote alikua hata akikohoa tu kuhusu JPM anakamatwa, Idris alicheka tu picha ya JPM akakamatwa
Lakini Gwajima analiambia kanisa viongozi walioruhusu chanjo akili zao zimeenda likizo halafu IGP anaongea nini sasa,
Mimi naona sasa kama vya chanjo tuachane navyo kwanzia leo
Samia kazi unayo pole sana
Hivi vitu vinavyoendekezwa vya kujifanya eti uhuru wa kuongea vitakuja kuligawa taifa pande mbili,
Bora 2025 ifike haraka tuchague Rais anayeweza kuongoza nchi vizuri
hizi naona kama ni dharau kwa mamlaka ya uteuzi wa Rais
Sirro anadharau sana, mi naona tatizo linaanzia kule juu, bora katiba ibadilishwe Rais akifia madarakani nchi irud kwenye uchaguzi
Mtu anatuhumu Viongozi wamepewa hongo kuingiza chanjo means alikua anamaanisha Rais Samia bado ameachwa?
kipindi kile mtu yoyote alikua hata akikohoa tu kuhusu JPM anakamatwa, Idris alicheka tu picha ya JPM akakamatwa
Lakini Gwajima analiambia kanisa viongozi walioruhusu chanjo akili zao zimeenda likizo halafu IGP anaongea nini sasa,
Mimi naona sasa kama vya chanjo tuachane navyo kwanzia leo
Samia kazi unayo pole sana
Hivi vitu vinavyoendekezwa vya kujifanya eti uhuru wa kuongea vitakuja kuligawa taifa pande mbili,
Bora 2025 ifike haraka tuchague Rais anayeweza kuongoza nchi vizuri