Kwa Hili la CAG Mpya, Wana Inteligensia wa Jamii Tulifeli!

Kwa Hili la CAG Mpya, Wana Inteligensia wa Jamii Tulifeli!

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,728
Kwanza napenda kumpongeza Prof Assad kwa kuteuliwa kuwa CAG mpya... Kwa jinsi huyu bwana alivyoshika dini, sijui watakaotaka kumuhonga wataanzia wapi. Ni msomi asiye na makuu wala tamaa za mali...

Nimekaa na kuwaza kwa umahiri wa JF kuibua mambo wakati yako jikoni, imewezekanaje taarifa za kupatikana kwa CAG mpya halikulifikia jamvi la JF ihali mtu alishaanza kupiga mzigo tangu tarehe tano mwezi wa kumi na moja?

Kweli inabidi timu ya inteligensia ya JF ijiuzulu kwa kuzembea kupata taarifa hii mapema. La sivyo iombe radhi jukwaa la wana JF ambao wanategemea kwa kiasi kikubwa kupata habari wakati bado ziko jikoni kupitia JF.
 
mbele ya tegeta escrow hakuna cha mshika dini wala mswalia mtume!
 
Hebu tupe majina ya waliotajwa na PAC.

Mpwa kuna mahali kuna watu wanakufananisha, kiongozi wao mkuu ni Amavubi hahahaaaaa waswahili walisema hivi M'MBEA HASEMI UONGO TATIZO HAJATUMWA, nakubali kuwa hivyo lakini jitahidi uende ukaone mwenyewe kwa macho yako
 
Last edited by a moderator:
mkuu mbona majina unayo au una maana gan nikutajie majina ya Mkomboz au Stanbic!?:confused2::confused2:
 
hakuna jipya hapo toka uttoh amwache agCAG hakukuwa na mtendaji mwingine prof assad alivishwa mabom ya escrow yamlipukie
 
Back
Top Bottom