Ndugu zangu Watanzania tuko katika mapambano makali dhidi ya adui hatari aitwaye COVID-19
Kama tunavyoambiwa na wataalamu wa afya katika janga hili kuwa ni vyema kila akajikinga kwa kuchukua tahadhari zote muhimu.
Katika hili nawapongeza sana viongozi wa Manispaa ya Moshi kwa kuanza utaratibu wa kupiga dawa mabasi yote yanayoingia katika stendi ya mabasi ya Moshi. Uamuzi huu ni muhimu katika mapambano haya ambayo kimsingi lazima tushinde.
Tunapenda kuona hatua kama hiyo au zaidi ikichukuliwa pia na viongozi katika maeneo mengine.
Inshallah tutashinda vita hii.
Kama tunavyoambiwa na wataalamu wa afya katika janga hili kuwa ni vyema kila akajikinga kwa kuchukua tahadhari zote muhimu.
Katika hili nawapongeza sana viongozi wa Manispaa ya Moshi kwa kuanza utaratibu wa kupiga dawa mabasi yote yanayoingia katika stendi ya mabasi ya Moshi. Uamuzi huu ni muhimu katika mapambano haya ambayo kimsingi lazima tushinde.
Tunapenda kuona hatua kama hiyo au zaidi ikichukuliwa pia na viongozi katika maeneo mengine.
Inshallah tutashinda vita hii.